Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?
Yes,una thamani zaidi.
Hakuna raia wa kawaida awezaye kupanda hiyo ndinga ilobeba mwili mfu.
 
Kwani mlinzi katumia silaha?
Watu lazima wajifunze itifaki ya misiba ya kitaifa. Anakwenda kulizuia gari ili iweje? Wafe na Lowassa?
Umeona amelizuia gari? Hakuwa na ndugu? Wananchi na sisi tuache ukondoo huyo mlinzi alikuwa wa kupigwa na nzengo nzima!
 
Hata kama alikuwa na nia mbaya huyo raia. Kun namna ya ku deal nae ili baadaye asaidie kwenye upelelezi. Rejeeni kwa yule mwamba aliyemshambulia regan kwa risasi . Pia rejeeni yule alemshambulia shinzo abe jinsi walivyomdhibiti ili akasaidie upelelezi. Ingekuwa wana apply tactics hii kwenye kila tukio wangekuwa wana miss vingi. Imagine hilo ni gari lililobeba mwili wa kiongozi mstaafu. What if angekuwa anamkaribia rais hvyo wangemfanyaje?
 
Back
Top Bottom