Hivi huko ccm kutofautiana kauli ndio kutokuwa na maelewano? Mbona ni kawaida kwenye mtu zaidi ya mmoja kutofautiana kauli? na ili msonge mbele lazima kuwe na mawazo mbadala (kutofautiana kauli)Waungwana,
Hadi sasa kuna fukuto, tangu Mbowe asamehewe na Rais Samia kutoka jela hawana maelewano na Lissu. Kuna watu ndani ya Chadema mioyoni mwao walitamani Mbowe asitoke jela.
Muda unatuambia sasa.
Awali, hapa JF kulikuwa na hii thread - Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi mwenzake, ugomvi ni mkubwa
View attachment 2147558
Samahanii Una uwezo mdogo sana wa kufikiri empty headHajatokea mtu wakuweza to handle issues Kama MBOWE, sijui ana moyo wa aina gani....
Kwa ubora wa moyo na akili ya mbowe hata tukitofaitiana naye wote kauli yake huja kudhihirika kuwa ni sahihi
Sio mbaya lissu akawa na msimamo tofauti ila watakutana katikati vizuri tu.
Mbowe alisema amechanja Corona woote tukamtukana...ila lile dikteta la chattle likajiua kwa ujinga wake wa kutaka sifa na kupenda kuabudiwa....Samia kaingia kachanja Corona...
Maendeleo ya nchi hii yanaitaji raia wenye Akili timamu na sio Mbowe LISSu,na Samia hahahahaha hahahah hata Mimi nakuunga mkonoMkweli wa Mungu, Mimi sio CHADEMA Wala CCM ila niwaeleze tu ndugu zangu usije ukawaamini wanasiasa, kwasababu wao pia ni binadamu Wana madhaifu Yao hivyo mengi wao ni chumia tumbo tu hakuna lolote na mtaji wao ni wananchi wapuuzi, wajinga na maskiniaani Mimi nashangaa sana wewe mwenyewe mwanaCHADEMA huna maisha mazuri unaishi kwa tabu ,shida na madeni lakini unafanya kila uwezalo eti Mbowe au Lissu wachangiwe pesa sijui kwaajiri ya shughuri za chama sijui nini yaani ni upumbavu wa kiwaongo Cha juu sana.
Nilishasema na narudia tena sio Mbowe, Lissu, Samia au Zitto ndio wanaweza kukuletea maendeleo iyo ni big no maendeleo ya nchi hii yanahitaji wanachi wenye akili ambao hawataweza kumvumilia kiongozi wa namna yeyote Ile fisadi, mbazilifu, mng'ang'ania madaraka kwa muda mrefu bili matokea chanya yeyote ,Mpenda fedha na mwenye kujijali yeye mwenyewe na familia yake. Hapo ndipo viongozi watajiset na kuwa watu wakuwatumikia wananchi basi lakini sio hizi ngonjera za kipuuzi na kijinga za wao viongozi kugombania maslai Yao binafsi
We jamaa mi nanywa Serengeti naomba ulipo agiza dhen nalipaHaikusaidii chochote kukubali kuendelea kuwa mjinga. Mbowe na Lissu Hakuna mahali popote walipotifautiana kauli.
Akiwa Iringa Mbowe aliwakabidhi BAWACHA jukumu la kuongoza Join The Chain Kwa kuwataka kuwa wa kwanza kuleta 1M contributors. Katika kikao hicho hicho akawataka Kwa Umoja wao kusimamia hamasa ya Katiba mpya na wao tayari kupitia Mwenyekiti wa BAWACHA aanaandaa mpangokazi naye kasema Wazi watapita mikoa yote. Alichoongeza Mbowe ni maridhiano na utayari serikali kuhusu uendeshaji wa siasa zisizo za visasi na uhasama.
Lissu kesho yake akiwa Club House akaja na dhana ya utashi wa Rais kuhusu Katiba mpya na mkamponda humu kuhusu kauli hiyo. Wengine Kwa maslahi yenu maana Tangu niwafahamu hamjawahi kuacha umbea mkasema CHADEMA Sasa imejisalimisha baada ya Mwenyekiti na Makamu wake kumtegemea Samia kuleta Katiba huku wakijua Huyo ni CCM na CCM haitaki Katiba mpya.
Sasa Leo mnapokuja na kutofautiana sijui mnakutoa wapi tena wakati Mwanzo mlisema wamesalender?
Mbali ya hayo haiwezekani Mbowe na Lissu wakawa na mawazo yanayofanana Kwa Kila kitu Kila siku. Ukiona hivyo ujue aidha kuna mmoja hafikirii au mmoja anafikiria Kwa niaba ya mwenzake.
Hilo gaidi lako lilipochanja limesain mkataba wa kuishi milele?Hajatokea mtu wakuweza to handle issues Kama MBOWE, sijui ana moyo wa aina gani....
Kwa ubora wa moyo na akili ya mbowe hata tukitofaitiana naye wote kauli yake huja kudhihirika kuwa ni sahihi
Sio mbaya lissu akawa na msimamo tofauti ila watakutana katikati vizuri tu.
Mbowe alisema amechanja Corona woote tukamtukana...ila lile dikteta la chattle likajiua kwa ujinga wake wa kutaka sifa na kupenda kuabudiwa....Samia kaingia kachanja Corona...
Mara nyingi Magazeti mengi yanaandika habari nyingi kutoka hapa Jamii Foram.Haikusaidii chochote kukubali kuendelea kuwa mjinga. Mbowe na Lissu Hakuna mahali popote walipotifautiana kauli.
Akiwa Iringa Mbowe aliwakabidhi BAWACHA jukumu la kuongoza Join The Chain Kwa kuwataka kuwa wa kwanza kuleta 1M contributors. Katika kikao hicho hicho akawataka Kwa Umoja wao kusimamia hamasa ya Katiba mpya na wao tayari kupitia Mwenyekiti wa BAWACHA aanaandaa mpangokazi naye kasema Wazi watapita mikoa yote. Alichoongeza Mbowe ni maridhiano na utayari serikali kuhusu uendeshaji wa siasa zisizo za visasi na uhasama.
Lissu kesho yake akiwa Club House akaja na dhana ya utashi wa Rais kuhusu Katiba mpya na mkamponda humu kuhusu kauli hiyo. Wengine Kwa maslahi yenu maana Tangu niwafahamu hamjawahi kuacha umbea mkasema CHADEMA Sasa imejisalimisha baada ya Mwenyekiti na Makamu wake kumtegemea Samia kuleta Katiba huku wakijua Huyo ni CCM na CCM haitaki Katiba mpya.
Sasa Leo mnapokuja na kutofautiana sijui mnakutoa wapi tena wakati Mwanzo mlisema wamesalender?
Mbali ya hayo haiwezekani Mbowe na Lissu wakawa na mawazo yanayofanana Kwa Kila kitu Kila siku. Ukiona hivyo ujue aidha kuna mmoja hafikirii au mmoja anafikiria Kwa niaba ya mwenzake.
Kule jela kawakuta na kuwaacha wangapi walikuwa na haki ya kutoka kama Mbowe ila hawajatoka?Wewe na gazeti lako uchwara acheni majungu, Mbowe hajasamehewa, ila ilikua ni haki yake kutoka
Hawawezi kuwa sawa.
Mbowe ameonja uchungu wa uongozi hadi kasota jela miezi nane.
Lissu anaongea akiwa nje ya nchi, hana uhalisia wa chama.
Hata huo uongozi wa chama Lissu aachane nao
Jana kuna mtu katoa uzi kuhusu hilo ila akina Erythrocyte brazaj OKW BOBAN SUNZU etc wakamshambulia ajabu.
Huu hapa: Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi mwenzake, ugomvi ni mkubwa
Kila siku nawaeleza kuwa Tundu Lissu ni mbinafsi hajawahi kutokea. Na anaupenda uenyekiti wa Mbowe kwa udi na uvumba. Chadema itatulia ikimtimulia mbali
Mimi sijachanja na sitachanja. Ntakufa?Hajatokea mtu wakuweza to handle issues Kama MBOWE, sijui ana moyo wa aina gani....
Kwa ubora wa moyo na akili ya mbowe hata tukitofaitiana naye wote kauli yake huja kudhihirika kuwa ni sahihi
Sio mbaya lissu akawa na msimamo tofauti ila watakutana katikati vizuri tu.
Mbowe alisema amechanja Corona woote tukamtukana...ila lile dikteta la chattle likajiua kwa ujinga wake wa kutaka sifa na kupenda kuabudiwa....Samia kaingia kachanja Corona...