Raia Mwema: Mbowe na Lissu watofautiana kauli

Raia Mwema: Mbowe na Lissu watofautiana kauli

Kupishana kauli ama kuwa na mitazamo tofauti juu ya jambo ama kitu fulani, ni kitu kizuri mno. Na wala hii haiwezi kuchukuliwa kama fukuto ama ugomvi katika ya viongozi hawa wa juu wa CDM.

Jambo lenye afya kwa chama ni kukubali kutofautiana kwa ajili ya maslahi mapana ya chama. Chama chochote kile ndani yake ni lazima kuwe na makada wahafidhina pamoja na wale wenye msimamo wa kati. Kwa hiyo basi kinapotokea ama kuibuka kitu ndani ya chama makundi haya mawili hayaachi kupishana kauli.
 
Hakuna kitu kama hicho, CHADEMA mnauziwa mbuzi kwenye gunia bila kujielewa hapana viongozi hapo.
 
Nimemsikiliza Lissu, hakika Raia Mwema limekuwa gazeti la udaku.
 
Tofauti ya Mawazo na mtazamo sio mtafaruku ndio Afya ya Demokrasia
 
Kuna Watu wa Ajabu sana Nchi hii Wakati wa KESI ya KIJINGA ya UGAIDI kuna KUNDI la Watu WALIKUWA Wakipita MITAANI na KUPAYUKA ETI MBOWE ni GAIDI.

Baada ya MUNGU kuwaumbua Waneanza Tena ETI MBOWE na LISSU Hawaelewani Tunawashauri WAWAPATANISHE mbona ni kazi RAHISI TU.

Ila tunachowaambia kama Yule Aliyetumia na RISASI kutaka kuwaua Viongozi wa Chadema na Magereza kutaka Kuwafungwa ALISHINDWA basi CHADEMA HAIFI TENA
 
Waungwana,

Hadi sasa kuna fukuto, tangu Mbowe asamehewe na Rais Samia kutoka jela hawana maelewano na Lissu. Kuna watu ndani ya Chadema mioyoni mwao walitamani Mbowe asitoke jela.

Muda unatuambia sasa.

Awali, hapa JF kulikuwa na hii thread - Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi mwenzake, ugomvi ni mkubwa

View attachment 2147558
Hivi huko ccm kutofautiana kauli ndio kutokuwa na maelewano? Mbona ni kawaida kwenye mtu zaidi ya mmoja kutofautiana kauli? na ili msonge mbele lazima kuwe na mawazo mbadala (kutofautiana kauli)
 
Hajatokea mtu wakuweza to handle issues Kama MBOWE, sijui ana moyo wa aina gani....

Kwa ubora wa moyo na akili ya mbowe hata tukitofaitiana naye wote kauli yake huja kudhihirika kuwa ni sahihi

Sio mbaya lissu akawa na msimamo tofauti ila watakutana katikati vizuri tu.

Mbowe alisema amechanja Corona woote tukamtukana...ila lile dikteta la chattle likajiua kwa ujinga wake wa kutaka sifa na kupenda kuabudiwa....Samia kaingia kachanja Corona...
Samahanii Una uwezo mdogo sana wa kufikiri empty head
 
Mkweli wa Mungu, Mimi sio CHADEMA Wala CCM ila niwaeleze tu ndugu zangu usije ukawaamini wanasiasa, kwasababu wao pia ni binadamu Wana madhaifu Yao hivyo mengi wao ni chumia tumbo tu hakuna lolote na mtaji wao ni wananchi wapuuzi, wajinga na maskiniaani Mimi nashangaa sana wewe mwenyewe mwanaCHADEMA huna maisha mazuri unaishi kwa tabu ,shida na madeni lakini unafanya kila uwezalo eti Mbowe au Lissu wachangiwe pesa sijui kwaajiri ya shughuri za chama sijui nini yaani ni upumbavu wa kiwaongo Cha juu sana.

Nilishasema na narudia tena sio Mbowe, Lissu, Samia au Zitto ndio wanaweza kukuletea maendeleo iyo ni big no maendeleo ya nchi hii yanahitaji wanachi wenye akili ambao hawataweza kumvumilia kiongozi wa namna yeyote Ile fisadi, mbazilifu, mng'ang'ania madaraka kwa muda mrefu bili matokea chanya yeyote ,Mpenda fedha na mwenye kujijali yeye mwenyewe na familia yake. Hapo ndipo viongozi watajiset na kuwa watu wakuwatumikia wananchi basi lakini sio hizi ngonjera za kipuuzi na kijinga za wao viongozi kugombania maslai Yao binafsi
Maendeleo ya nchi hii yanaitaji raia wenye Akili timamu na sio Mbowe LISSu,na Samia hahahahaha hahahah hata Mimi nakuunga mkono
 
Haikusaidii chochote kukubali kuendelea kuwa mjinga. Mbowe na Lissu Hakuna mahali popote walipotifautiana kauli.

Akiwa Iringa Mbowe aliwakabidhi BAWACHA jukumu la kuongoza Join The Chain Kwa kuwataka kuwa wa kwanza kuleta 1M contributors. Katika kikao hicho hicho akawataka Kwa Umoja wao kusimamia hamasa ya Katiba mpya na wao tayari kupitia Mwenyekiti wa BAWACHA aanaandaa mpangokazi naye kasema Wazi watapita mikoa yote. Alichoongeza Mbowe ni maridhiano na utayari serikali kuhusu uendeshaji wa siasa zisizo za visasi na uhasama.

Lissu kesho yake akiwa Club House akaja na dhana ya utashi wa Rais kuhusu Katiba mpya na mkamponda humu kuhusu kauli hiyo. Wengine Kwa maslahi yenu maana Tangu niwafahamu hamjawahi kuacha umbea mkasema CHADEMA Sasa imejisalimisha baada ya Mwenyekiti na Makamu wake kumtegemea Samia kuleta Katiba huku wakijua Huyo ni CCM na CCM haitaki Katiba mpya.
Sasa Leo mnapokuja na kutofautiana sijui mnakutoa wapi tena wakati Mwanzo mlisema wamesalender?

Mbali ya hayo haiwezekani Mbowe na Lissu wakawa na mawazo yanayofanana Kwa Kila kitu Kila siku. Ukiona hivyo ujue aidha kuna mmoja hafikirii au mmoja anafikiria Kwa niaba ya mwenzake.
We jamaa mi nanywa Serengeti naomba ulipo agiza dhen nalipa
 
Hajatokea mtu wakuweza to handle issues Kama MBOWE, sijui ana moyo wa aina gani....

Kwa ubora wa moyo na akili ya mbowe hata tukitofaitiana naye wote kauli yake huja kudhihirika kuwa ni sahihi

Sio mbaya lissu akawa na msimamo tofauti ila watakutana katikati vizuri tu.

Mbowe alisema amechanja Corona woote tukamtukana...ila lile dikteta la chattle likajiua kwa ujinga wake wa kutaka sifa na kupenda kuabudiwa....Samia kaingia kachanja Corona...
Hilo gaidi lako lilipochanja limesain mkataba wa kuishi milele?

We bwege.
 
Haikusaidii chochote kukubali kuendelea kuwa mjinga. Mbowe na Lissu Hakuna mahali popote walipotifautiana kauli.

Akiwa Iringa Mbowe aliwakabidhi BAWACHA jukumu la kuongoza Join The Chain Kwa kuwataka kuwa wa kwanza kuleta 1M contributors. Katika kikao hicho hicho akawataka Kwa Umoja wao kusimamia hamasa ya Katiba mpya na wao tayari kupitia Mwenyekiti wa BAWACHA aanaandaa mpangokazi naye kasema Wazi watapita mikoa yote. Alichoongeza Mbowe ni maridhiano na utayari serikali kuhusu uendeshaji wa siasa zisizo za visasi na uhasama.

Lissu kesho yake akiwa Club House akaja na dhana ya utashi wa Rais kuhusu Katiba mpya na mkamponda humu kuhusu kauli hiyo. Wengine Kwa maslahi yenu maana Tangu niwafahamu hamjawahi kuacha umbea mkasema CHADEMA Sasa imejisalimisha baada ya Mwenyekiti na Makamu wake kumtegemea Samia kuleta Katiba huku wakijua Huyo ni CCM na CCM haitaki Katiba mpya.
Sasa Leo mnapokuja na kutofautiana sijui mnakutoa wapi tena wakati Mwanzo mlisema wamesalender?

Mbali ya hayo haiwezekani Mbowe na Lissu wakawa na mawazo yanayofanana Kwa Kila kitu Kila siku. Ukiona hivyo ujue aidha kuna mmoja hafikirii au mmoja anafikiria Kwa niaba ya mwenzake.
Mara nyingi Magazeti mengi yanaandika habari nyingi kutoka hapa Jamii Foram.
Mfano soma Raia Mwema ya jana kwani hata ule urepoti wa keshi ya Mbowe Raia Mwema ilikuwa inaleta kama marudio kutoka Jamii Foram
 
Hawawezi kuwa sawa.

Mbowe ameonja uchungu wa uongozi hadi kasota jela miezi nane.

Lissu anaongea akiwa nje ya nchi, hana uhalisia wa chama.

Hata huo uongozi wa chama Lissu aachane nao

Katika maana ya kwamba uongozi wa chama ni wa mtu fulani au watu wa kutoka kwa akina Mamndenyi
😛 😛 😛
 
Hivi Lissu katoa tamko lolote kuhusiana na Mbowe kutolewa jela??
 
Jana kuna mtu katoa uzi kuhusu hilo ila akina Erythrocyte brazaj OKW BOBAN SUNZU etc wakamshambulia ajabu.

Huu hapa: Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi mwenzake, ugomvi ni mkubwa

Kila siku nawaeleza kuwa Tundu Lissu ni mbinafsi hajawahi kutokea. Na anaupenda uenyekiti wa Mbowe kwa udi na uvumba. Chadema itatulia ikimtimulia mbali

Kwani kuutaka uenyekiti wa chama ni kukiuka misingi na miiko ya chama??? Mbona katiba yenu inampa kila mwanachama haki ya kuwania nafasi yoyote kwenye chama??
Anyways, Lisu embu kaa kando bana, haya mambo mengine wanasema ni sawa na kuonja sumu. Na sidhani kama uko tayari kuonja hiyo kitu.
 
Hajatokea mtu wakuweza to handle issues Kama MBOWE, sijui ana moyo wa aina gani....

Kwa ubora wa moyo na akili ya mbowe hata tukitofaitiana naye wote kauli yake huja kudhihirika kuwa ni sahihi

Sio mbaya lissu akawa na msimamo tofauti ila watakutana katikati vizuri tu.

Mbowe alisema amechanja Corona woote tukamtukana...ila lile dikteta la chattle likajiua kwa ujinga wake wa kutaka sifa na kupenda kuabudiwa....Samia kaingia kachanja Corona...
Mimi sijachanja na sitachanja. Ntakufa?
 
Back
Top Bottom