Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Raia Mwema: Safari ya Halima Mdee na wenzake kuelekea ACT Wazalendo yaiva

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

Ester Bulaya naye kawajibu Raia Mwema: “Acha Kuandika Uongo watu wapo Kimyaa … nina Chama Kimoja tu ninachokipenda kinaitwa CHADEMA … Muda na Kunyamaza Ni Hukumu Nzuri sana . Endelea kula Mtori Nyama utazikuta Chini”.

3E5BBD29-854B-404D-97B5-AAA3C5139822.jpeg
 
Wewe na Raia Mwema ndio wajinga na malimbukeni. Kwani Mdee akihamia ACT - Wazalendo kinakuuma nini? Mbona Lissu anaunga mkono ushoga na hawaandiki?
Kwani tukipewa taarifa kwamba COVID-19 wanahamia ACT Wazalendo wewe unapata shida gani???
 
Gazeti la Raia Mwema linaandika, aliyekuwa mwanachama wa Chadema na Mwenyekiti wa BAWACHA na wenzake 18 wanatarajia kujiunga na ACT Wazalendo muda wowote kuanzaia sasa na watazunguka Tanzania nzima kukinadi.

Yeye asema, Kwa hiyo tukitambua jambo jema linalofanywa na wenzetu, ni ‘kuinyatia’? Uzuri hata mwandishi (Mmiliki wa gazeti) anajua Chama changu, ni suala la muda tu. Kama ingekuwa kutambua zuri la wengine ni ‘kunyatia’ basi tuna wanyatiaji’ wengi sana nchi hii.

View attachment 2525791
Mimi ni jiniasi wa matukio ...ksma ni kweli wanajiunga ACT basi huo utakuwa mwisho wao kisiasa bora hata wangebaki chadema ...kama wangekuwa na akili basi walitakiwa wajiunge na chama chochote kipya au chama kidogo, au bora wangejiunga NCCR MAGEUZI
 
Kwani Halima mdee na wenzake hawana haki ya kwenda watakako?

Tatizo ni kwamba wanaijua Chadema In& Out....

Kwenda kwa mkupuo wanachama waliotimuliwa kimafia Toka Chadema!

Na wakahamia kwa mtu wa sampuli ya Zitto na ACT Yake.

Chadema mtakuwa na vita nyingi zaidi.
 
Limeandika gazeti la Raia Mwema

JamiiForums-454747627.jpg


Pia niliiona tweet Ya Halima Mdee kule Twitter. Na baadae nikaikumbuka tweet ingine ya Mdee hukohuko Twitter.

Ndio nikaelewa kinachokuja kutokea 2025. Ni kwa mantiki hiyo, ndio nimeona kazi kubwa watakayokuwa nayo Chadema, pale itakapofika 2025.

Huku kutakuwa na CCM. Kwingine kutakuwa na wafuasi wa Magufuli. Na huku kutakuwa na Mliowaita COVID-19!

Halafu Zitto na ACT yake inaendelea kuwabinya taratibu muda wote. Hii ikiwa ni kabla hata ya 2025.

Ndio maana nikaja na jibu kwamba CHADEMA mtafika 2030 mkiwa hoi bin taaban baada ya mapambano hayo makali.

Siasa haina adui wa kudumu.
 
Kwani Halima mdee na wenzake hawana haki ya kwenda watakako?

Tatizo ni kwamba wanaijua Chadema In& Out....

Kwenda kwa mkupuo wanachama waliotimuliwa kimafia Toka Chadema!

Na wakahamia kwa mtu wa sampuli ya Zitto na ACT Yake.

Chadema mtakuwa na vita nyingi zaidi.
Nguvu ya ACT iko Pemba na Wapemba wameshamgutukia Zitto Kabwe kuwa ni snitch hivyo wanamlia timing tu hadi kufika 2025 kutakuwa na tifu la ajabu, Wapemba hawataki ujinga.
 
Back
Top Bottom