Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wanatuona sisi mabwiga.Wanaitikia kilio cha wananchi wakati walisema wananchi ndio walitaka tozo
Jitu la Puerto Rico lishashiba aibu sana, and probably he was excellently advised not to advance this but he arrogantly rejected because they had bankrupted/empted the Treasury. Wameshafukia mashimo.Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?
Wacha weee !!!Tozo haziwezi kufututwa.Ni muhimu kwa maendeleo ya Nchi na wananchi wake.
Duh!WESENNGE TU IZO TOZO ZIMEPITIZWA NA BUNGE?
Huyo ni dada.
Wanafutaje? Si walisema ni mapendekezo ya Wananchi?? WasifuteHii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Uzuri hujawahi mtukana mtu, mimi huyu Lofa ningemtigowacha weee !!!
Hahaha[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Uzuri hujawahi mtukana mtu, mimi huyu Lofa ningemtigo
Timing? CC ya Chadema ilikuwa baada ya kikao kinachoendelea itoe misimamo kuhusu tozo?Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?
Tanzania imekuwa Burundi tena?Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?