Raia Mwema: Tozo kufutwa, Mwigulu kuwasilisha Mapendekezo mapya Bungeni

Raia Mwema: Tozo kufutwa, Mwigulu kuwasilisha Mapendekezo mapya Bungeni

Naishauri serikali tozo iamishiwe kwenye maji ya kuoshea maiti ili twakomeshe wavuvi Kuhifadhia samaki maji ya maiti😁😁
Utasikia kutoka kwa Mwenyekiti"Hili nalo muende mkalitizame,mwanangu Mwigulu na timu yako"
 
Nina wasiwasi tozo zitarudi kwa jina jipya la kodi, yaani tutapandishiwa kodi mpaka tujute.

Mwl Nyerere aliwahi kusema, mtu akila nyama ya binadamu ni ngumu kuacha, washazoea utamu wa pesa sidhani kama wataacha hivi hivi lazima watukamue tuu
Ni Bora , kuliko kuzugia kwenye tozo, Kodi ni Ile Ile hata ikiitwa tozo
 
Ni Bora , kuliko kuzugia kwenye tozo, Kodi ni Ile Ile hata ikiitwa tozo
EA71402B-259A-49D2-82D4-F6865754C1E3.jpeg
 
Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu, kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi.

Chanzo: Raia Mwema

Swali: Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje?

Lini zinafutwa?
 
Back
Top Bottom