Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Tozo zisifutwe.Zibaki hivyohivyo ili akili zikae sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiendacho kwa mganga hakirudi [emoji23]Hii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?
Kwa CHADEMA hii hii ya waramba asali.Timing? CC ya Chadema ilikuwa baada ya kikao kinachoendelea itoe misimamo kuhusu tozo?
Kabla ya hilo swali, aliyesema yeye ndiye ameleta tozo na kama hatutaki tuhame nchi tunataka kumwona akiondoka yeye kwakuwa ilikuwa atakayeshindwa aondoke na sasa yeye ndiye kashindwaHii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?
Zimepitishwa na nani?WESENNGE TU IZO TOZO ZIMEPITIZWA NA BUNGE?
Wanapandisha halafu nje wanakopaNina wasiwasi tozo zitarudi kwa jina jipya la kodi, yaani tutapandishiwa kodi mpaka tujute.
Mwl Nyerere aliwahi kusema, mtu akila nyama ya binadamu ni ngumu kuacha, washazoea utamu wa pesa sidhani kama wataacha hivi hivi lazima watukamue tuu
Kama baba yako na wewe piaWESENNGE TU IZO TOZO ZIMEPITIZWA NA BUNGE?
Wacha wafute, inakuja bima ya afya, hii ndio kodi ya kichwa, we acha!Wanafuta kwa kua/wa wamekusanya kwa kiwango cha kutosha(100%).
Na zirudi kweliHii ndiyo Taarifa mpya inayosambaa kwa kasi kwa muda huu , kwamba serikali imekubali kufuta Tozo zote ili kuitikia kilio cha wananchi .
Chanzo : Raia Mwema
Swali : Zile hela zetu walizotukata tangu Tozo zianze tutarudishiwaje ?
Najipanga kurudi. Tutarudi, kwani tushamtayarishia Mh. M.N aka DOMOTOZO naye aje aone Burundi ilivyo.Sasa ambao tayari wako Burundi wafanywaje??