johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nabii Lema!Lema kwa upendo wa dhati kabisa alimpigia simu kumuonya huyo bwana mdogo lakini alimdharau sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii Lema!Lema kwa upendo wa dhati kabisa alimpigia simu kumuonya huyo bwana mdogo lakini alimdharau sana.
😂 😂 Ila kikubwa ni wanawakeWanawake wenyewe alikuwa anawakuta Bar!
Kinachochunguzwa ni matumizi mabaya ya madaraka!Mkuu hii kesi kwanini iko TAKUKURU na siyo polisi? Kwa maoni yangu TAKUKURU haihusiki hata chembe na hii kesi.
Ila wanaume buana
![]()
SAKATALA LA GODBLESS LEMA KUMBAKA FLORA LYIMO, POLISI WA UINGEREZA WALETA BARUA KWASERIKALI YA TANZANIA KUMTAFUTA.
Hii ni barua ya polisi wa uingereza waliyoandikia polisi ya tanzania wakimtafuta lema akamatwe kwa kosa la ubakaji. maelezo ya ziada amb...darubinitz.blogspot.com
🙌🙌🙌
Du...huyu dogo ana tatizo la akili!Taarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya ( namba inaweza kuongezeka )
Inadaiwa kwamba Sabaya akishalewa kwenye Bar yoyote alikuwa anang'ang'ania mwanamke yeyote aliyemtaka na kuondoka naye kwenye Hotel yoyote na kumfanyia ukatili alioutaka huku akilindwa na Polisi na Mabaunsa wake .
Tutaendelea kuwaletea uhalifu wa huyu jamaa kwa kadri unavyotufikia bila kuedit chochote .
Endelea kututegea sikio .
Hili tukio la Sabaya CHADEMA mmelivalia njuga, mnalifanya limekuwa kama la kisiasa sana.Taarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya ( namba inaweza kuongezeka )
Inadaiwa kwamba Sabaya akishalewa kwenye Bar yoyote alikuwa anang'ang'ania mwanamke yeyote aliyemtaka na kuondoka naye kwenye Hotel yoyote na kumfanyia ukatili alioutaka huku akilindwa na Polisi na Mabaunsa wake .
Tutaendelea kuwaletea uhalifu wa huyu jamaa kwa kadri unavyotufikia bila kuedit chochote .
Endelea kututegea sikio .
Hamna kesi hapo bwashee!😂 😂 Ila kikubwa ni wanawake
RubbishTaarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya ( namba inaweza kuongezeka )
Inadaiwa kwamba Sabaya akishalewa kwenye Bar yoyote alikuwa anang'ang'ania mwanamke yeyote aliyemtaka na kuondoka naye kwenye Hotel yoyote na kumfanyia ukatili alioutaka huku akilindwa na Polisi na Mabaunsa wake .
Tutaendelea kuwaletea uhalifu wa huyu jamaa kwa kadri unavyotufikia bila kuedit chochote .
Endelea kututegea sikio .
Hivi unamjua flora lyimo vizuri? FL ni kichaa yule na michupi yake.Ila wanaume buana
![]()
SAKATALA LA GODBLESS LEMA KUMBAKA FLORA LYIMO, POLISI WA UINGEREZA WALETA BARUA KWASERIKALI YA TANZANIA KUMTAFUTA.
Hii ni barua ya polisi wa uingereza waliyoandikia polisi ya tanzania wakimtafuta lema akamatwe kwa kosa la ubakaji. maelezo ya ziada amb...darubinitz.blogspot.com
🙌🙌🙌
Baya unalisafisha kwa baya!
Hata hivyo ni tukio la kisiasa zaidi!Hili tukio la Sabaya CHADEMA mmelivalia njuga, mnalifanya limekuwa kama la kisiasa sana.
CHADEMA mko desperate sana, yaani Mnavuruga kabisa
JFChanzo cha habari?
Hivi unamjua flora lyimo vizuri? FL ni kichaa yule na michupi yake.
Ipo labda hakimu apewe pesaHamna kesi hapo bwashee!
Amekula wanaume wenzakeHili tukio la Sabaya CHADEMA mmelivalia njuga, mnalifanya limekuwa kama la kisiasa sana.
CHADEMA mko desperate sana, yaani Mnavuruga kabisa