King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ngoja tuone bwashee detective!
Chanzo chako cha taarifa Tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone bwashee detective!
Chanzo chako cha taarifa Tafadhali
Kawala sana kwa mpalange wanawake
Rais Samia ni CCM na Sabaya ni CCM na kila alichokuwa anafanya ilikuwa ni kwa manufaa ya CCM.Hata hivyo ni tukio la kisiasa zaidi!
Wanaume wa upinzani si ndio wanapenda sana huo mchezo na kuutetea sana kwamba ni faragha🙄🙄🙄Amekula wanaume wenzake
Acha upumbavu wewe..angemgegeda mkeo kwa nguvu bado ungeendelea kukenua meno kama taahira..mataga wajinga sanaHakuna jipya .
Ni kama tu aanawake wa Chadema waliobakwa ili wapewe viti maalum enzi za Dj
Kwa dunia ya leo wanawake kutwa kuonesha makalio yao kwenye social media,unafikiri wanatafuta nini !!!😂Kwa mpalange sio ndio chama la Wale wanafaragha wanaume na mtetezi wao Tundu!?
𝙷𝚒𝚟𝚒 𝙱𝚊𝚋𝚞 𝚂𝚎𝚢𝚊 𝚊𝚕𝚒𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚊 𝚔𝚎𝚜𝚒 𝚐𝚊𝚗𝚒 𝚟𝚒𝚕𝚎?Taarifa kutoka Takukuru zinaonyesha kwamba mpaka muda huu Jumla ya Wanawake 40 wakiwemo wanafunzi wa vyuo na Sekondari wamejitokeza kutoa ushahidi wa namna walivyobakwa na kufanyiwa ukatili mwingine wa Kingono na Mtukufu Ole Sabaya ( namba inaweza kuongezeka )
Inadaiwa kwamba Sabaya akishalewa kwenye Bar yoyote alikuwa anang'ang'ania mwanamke yeyote aliyemtaka na kuondoka naye kwenye Hotel yoyote na kumfanyia ukatili alioutaka huku akilindwa na Polisi na Mabaunsa wake .
Tutaendelea kuwaletea uhalifu wa huyu jamaa kwa kadri unavyotufikia bila kuedit chochote .
Endelea kututegea sikio .
Hata hivyo ni tukio la kisiasa zaidi!
Afungwe huyo jangiliNa kulawiti wanaume
Siasa za Sabaya zilikuwa mbaya sana. Siasa za bunduki karne ya 21 hazifai.Hata hivyo ni tukio la kisiasa zaidi!
Ushindani umekua mkubwa sana........ wanaume nao wanayaonesha yao kwa speed ya 5GKwa dunia ya leo wanawake kutwa kuonesha makalio yao kwenye social media,unafikiri wanatafuta nini !!!😂
Ova
Nimesafisha wapi???
Ubakaji ni ubakaji tuu
Nimewaza kwa sauti ya chinichini……...sina shaka wewe ni m'mojawapo wa wale wapambe wake!Modes kama hana chanzo cha habari futa hii takataka.
Safa kabisaJPM alikuwa na mpango wa kumpa ukuu wa mkoa. Duh hatari sana.
Asante Mungu kwa kujibu maombi yetu.
Apumzike anakostahili mtesaji wa Africa!.
Wakati mwingine dishi linatulia, wakati mwingine linacheza!Chanzo ni Bavicha!
Tulia watu wazima wajadili mambo ya msingiKumbe hii ndio source ya elythyte!
Hao walioliwa wamejitokeza ?Amekula wanaume wenzake