Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Aliyelawiti na yeye alawitiwe full stop.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni ngumbaru. Ukiendesha gari umelewa polisi huwa hawakupi faini kisa sio akili zako?Mimi sio mwanasheria, ilakama anafanya ukatili wa kijinsia kingono, akiwa amelewa, sabaya atashinda mcha kweupe manake utetezi utakuja kuwa ni akili ya pombe sio akili yake, je akiwa katika akili ambayo haina pombe huwa anabaka na kufanya ukatili wa kijinsia?
Hivi mwendazake alikuwa anatumia vigezo gani kuteua hawa vichaa?
And it was never fair since the beginningEti kama mwenda zake angekuwepo hadi leo, huyu mtu angeliendelea kubaki kwenye uongozi kama vile hakijatokea kitu, World is not fair at all.
Sheria ya wapi inayosema ukifanya Maovu ukiwa umelewa unaachwa? Kua hujafanya kosa.Mimi sio mwanasheria, ilakama anafanya ukatili wa kijinsia kingono, akiwa amelewa, sabaya atashinda mcha kweupe manake utetezi utakuja kuwa ni akili ya pombe sio akili yake, je akiwa katika akili ambayo haina pombe huwa anabaka na kufanya ukatili wa kijinsia?
Inashangaza !!! Siku hizi MAGANGWE hamna kabisa !!!Wachaga mmetuaibisha Sana
Huyu mwamba ilibidi asifikishe hata siku moja uraiani
Nadhani ukichaa wake, hakuna kigezo kingineHivi mwendazake alikuwa anatumia vigezo gani kuteua hawa vichaa?
Katoe ushahidi wa kulawitiwa,msiwe mnadaka mada juujuuNa kulawiti wanaume
Kwenye mawasiliano ya simu na Lem.. mwenyewe amekiri kuwa yeye nu muhuni.Write your reply...Sabaya ni msabato, amesoma shule za wasabato, huo uhuni kautoa wapi?
Unamaanisha Raia Mwema ni gazeti la Chadema?Je ni kwa nini habari za sabaya wanaopost negatively wengi ni wa mlengo wa chama flani cha kisiasa. Ingekuwa vyema kama tungeachia vyombo vya dola vifanye kazi yake. Kama mtu ana ushahidi aupeleke mahala husika. Sabaya bado ni mtanzania na kama mtuhumiwa ana haki zake kisheria.
Kanyooo dei?Errrooo meetiii tukuluuu
Amelawiti vijana waliokuwa wapinzani,aliwateka,akawatesa na kuwalawiti...unakataa nini sasa? Au wewe ni mpambe wakeKatoe ushahidi wa kulawitiwa,msiwe mnadaka mada juujuu