Raia Mwema: Wanawake 40 wajitokeza TAKUKURU kutoa ushahidi wa unyanyasaji wa kingono na ubakaji wa Ole Sabaya

Hata kama ulimkuta njiani haurusiwi kumchukua bila ridhaa yake.
Bar ni sehemu ya starehe na siyo sehemu ya kutenda uhalifu.
Kwahiyo akimkuta bar, ndiyo amfanyie vile anavyotaka?
Waliishi kama wafalme kipindi cha Mwendazake lkn sasa Wanasota.
Sioni zile kelele za Musiba, Ndugai na wenzake
Wanawake wenyewe alikuwa anawakuta Bar!
 
Hapa alikuwa anazingua sana, miaka ile akiwa UVCCM aliwazuzua sana mabinti wa vyuo na kitambulisho chake hicho....
 
Tunasema hivi , KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE
 
SarZuri mshamba sana halafy anajifanya wa ukweli kumbe mshamba fulani, boya sana huyu dogo
 
Cha kusikitisha ni kwamba mwendazake alikuwa akifurahishwa na watu wakatili kwa matendo yao dhidi ya binadamu wengine.
Na hii ndiyo sababu ya vyombo vya habari kuminywa uhuru wao.
 
Mwenyezi Mungu fundi sana. Bila kumchukua yule dhalimu huyo mhuni Sabaya angeendelea na dhuluma na udhalimu wake kwa miaka mingi sana.
Ndugu zangu, taratibu Watanzania mtaelewa kwa nini baadhi yetu tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea huyo dhalimu. Ndege wafananao huruka pamoja na mwendazake alijua fika anawateua viongozi wa namna gani kumwakilisha yeye kwenye wilaya na mikoa. Ni Tanzania ya Magufuli tu wawakilishi halali waliochaguliwa na wananchi walikuwa wakiswekwa hovyo ndani na kudhalilishwa na wateule hawa wahuni jinsi walivyopenda.



Hiyo sura tu inaonesha alikuwa mtu wa namna gani.​
 
Hili tukio la Sabaya CHADEMA mmelivalia njuga, mnalifanya limekuwa kama la kisiasa sana.

CHADEMA mko desperate sana, yaani Mnavuruga kabisa
Kwa hiyo kwako wewe usie Chadema, yote anayotuhumiwa nayo si sahihi kuyavalia njuga. Nilidhani Mtanzania kumbe utaifa wako ni M-Ccm.


Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli nilipata kafuraha fulani zama za mawe zilivyoangukia pua
Asante UVIKO19...
 
Sabaya aliwahi nipokonya dem tukiwa The Don Arusha
 
Hakutumwa kufanya hayo aliyofanya, kila mtu ahukumiwe kwa dhambi zake
 
Huyu jamaa vitendo alivyokuwa akifanya (huku akiungwa mkono na mwendazake) ni vya kinyama sana. Kuondoka kwa JPM kumeibua mengi. Hivi JPM angeendelea kuwa hai hadi leo ni wananchi wangapi wangedhulumiwa na hili jangili la kimasai? Ngoja likanyee debe akili zilikae sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…