Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

Raia wa Iran afukuzwa Tanzania baada ya kuwa tishio kwa usalama wa taifa

Kutoa taarifa za uongo katika uombaji visa n kosa tosha kukufanya ukataliwe kuishi nchini pindi liking'amuliwa.

Mnapaka mafuta kwa ule unafiki wenu ila ndio hivyo hivyo, mpaka mkubali kuishi na binadamu wenzenu kwa amani mtavurugwa popote.......Isome taarifa tena mpaka ufikie hii sentensi
"it was found that he was involved in planning and carrying out activities that endanger the security of the country and that of other nations (cross-border crime)."
 
Hapo uhamiaji waliingizwa chaka idara za usalama zikamshtukia ...
 
Mnapenda kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila tatizo lenu liko hapa

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Kwahiyo waislam wote wauawe au wafukuzwe duniani maana wote wanatumia verse hizo
 
Sijaelewa mtalii akifanya uhalifu kama kufoji cheti cha ndoa anarudishwa nchini kwake na sio kushitakiwa?
 
Mnapenda kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila tatizo lenu liko hapa

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hayo yameandikwa kwenye source baandiko lako? Kwanza hata tuna uhakika huyo mhalifu ni muislam?? Au umeangalia jina na nchi tu ukahitimisha ni gaidi?
 
Kwahiyo waislam wote wauawe au wafukuzwe duniani maana wote wanatumia verse hizo

Mumedandia dini ya watu, waislamu wa kweli ni wale wanafuata hayo maandiko na kusumbua dunia, wengine nyote mpo tu siku ziende.
 
Hayo yameandikwa kwenye source baandiko lako? Kwanza hata tuna uhakika huyo mhalifu ni muislam?? Au umeangalia jina na nchi tu ukahitimisha ni gaidi?

Mtaendelea kukana na kukanusha kinafiki lakini vituko vyenu ndio kero dunia hii, mbona msivae makanzu yenu na muishi na watu kwa amani.
 
Sijaelewa mtalii akifanya uhalifu kama kufoji cheti cha ndoa anarudishwa nchini kwake na sio kushitakiwa?

Commissioner Mahirane said after the arrest of the Iranian nation and interrogated thoroughly, it was confirmed that he was a criminal who was determined to plan and carry out activities that could endanger the security of the country and that of other nations.
 
Sijaelewa mtalii akifanya uhalifu kama kufoji cheti cha ndoa anarudishwa nchini kwake na sio kushitakiwa?
AFAIK, Using a forged document is illegal. Unashtakiwa na una nafasi mbili,
1. kulipa faini na kuwa deported.
2.kupata kifungo gerezani na baada ya kifungo unakuwa deported.
 
Mnapenda kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ila tatizo lenu liko hapa

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Acha EGNESU.

Acha udini...ishi maisha yako.

Wangapi wamekatwa vichwa hapa Tanzania...?

Hata huko nje ya TZ.....Hadi leo hii hutambui kuwa vuturu zote ni kwa sababu ya maslahi.

Uislamu ni dini ya amani.
 
Watu bana mmeambiwa amehatarisha usalama wa Taifa sasa mnataka undani ili iweje? mnakomaaaaaaaaaa kashafukuzwa basi mnashupaza shingo ili iweje sasa. kibaya zaidi mnaanza kuuwekea huu uzi masula ya kidini HOW.
 
Mnapaka mafuta kwa ule unafiki wenu ila ndio hivyo hivyo, mpaka mkubali kuishi na binadamu wenzenu kwa amani mtavurugwa popote.......Isome taarifa tena mpaka ufikie hii sentensi
"it was found that he was involved in planning and carrying out activities that endanger the security of the country and that of other nations (cross-border crime)."
Kwani hizo activities lazima ziwe za kidini au kigaidi? Je kama ni wizi au espionage?
 
Back
Top Bottom