Usituconfyuzi na kizungu, kosa la raia ni nini? Si wakawapige polisi waliowanyima kato???Wachangiaji muwe makini sishabikii ila nimeweka kitu fulani aina ya reciprocal opportunity to action
Hata maandiko yamesema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, malipo ya dhuluma ni kifo, kila mmoja wa hao MPs hio dhuluma itamuua na kutesa vizazi vyao vyoteNa Raia wa kawe wamesema nyie mna wapiga ila wao watakuwa wanawapumzisha kwa amani mmoja baada ya mwingine. Sababu mkiwa mmoja mmoja mnakuwa dhaifu kama wanawake malaya. Wakaongezea mkimaliza kuwapiga muwe umnanywea pombe huko huko kambini mkijichanganya huku nk mwendo wa sumu mkajifie kwenye hanga huko. KAZI IENDELEE
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu mnambinuapa sku hz nkitak kutoka njevnavaa zangu kanzu na kibarakshehe au manguo makubwa sijiweki kibshoo wala kihuni aisee mpka mzozo ukaTe
Kwa hiyo kwa akili zenu zinazowatosha wenyewe mkaamua mkalipize kwa raia..mngewapiga hao Police kwa kuzingua.Mnajua mnachofanya si sahihi ndo maana hamjaweza kumchukua mtuhuniwa Police.Police walizingua walikataa kumkabidhi muuaji kwa wale maninja a.k.a MPs
Na hao wakubwa wao vikosini wanawaendekeza askari wao kutumia nguvu uraiani kupiga watu ovyo.Wewe naye sijui umekunywa ulanzi asubuhi yote hii
Wamkabidhi kwa jeshi kwa sheria ipi?
Hilo ni jukumu la polisi hao wajeda washenzi wasiokuwa na akili ilitakiwa watulie huko kambini kwao
Ujeshi ni umwamba sana ukizingatia na bangi, pombe na kupenda mademu basi wandewa kama woteNa hao wakubwa wao vikosini wanawaendekeza askari wao kutumia nguvu uraiani kupiga watu ovyo.
Jaribu kutumia akili wewe!! Kwa mawazo haya ndio maana ccm wanawaona wananchi wote wa nchi hii ni HAMNAZO!! Polisi walitimiza jukumu lao la kikatiba, huo ni ushamba tu!! Mala ngapi hata inapotokea mwanajeshi amepigwa/ibiwa na wakamkamata mhusika, lakini bado wakapiga raia?!!Kwa kifupi sana nasema hivi kama police wa Kawe wangemjabidhi muuaji ambaye ni Kato hayo yote yasingetokea. Hii iwe ni warning kwa jeshi la police popote.
Kama unabisha sawa hayo ya kawe yatakuwa sehemu ya maisha popote pale Tanzania.
It is what it is, it pains but swallow it the hard way.
Mwaka 2015 kwenye uchaguzi S.H Amon aliumiza raia huko Mbeya kwa kukodi wanajeshi ili kusaidia CCM ishinde ubunge Rungwe Magharibi, Kawe sio special kwa chochote kile.
Ndio maisha
Wadiz
Wale ni maninja sio wajeshi, uthubutu wa Raia kumdhuru mwanajeshi bila onyo kali tena onyo mtambuka Raia hamuwezi kujirekebisha, sasa huo ni mfano tu, in an event of a similar scenario please just get away far away that place please kindly thank me later.Hii ni akili au matope, kosa la wananchi hapo ni nini?
Kwanza hiyo ni kesi ya kiraia police ndio wanahusika, lakini kubwa kuliko zote raia hawajamshikilia huyo muuwaji bali ni polisi, kama ndiyo hivyo, basi jeshi wakawatwange polisi.
Huu ni muendelezo wa tabia mbovu za wajeda kujifanyia MAKAME NGUVU.
Jihadhari ni mwiko Raia kwa namna yoyote ile kumgusa pot jua hivyo, akikukosea chukua namba zake au ya gari yake nenda Kambini kashitaki nenda na barua ya mtendaji.Jaribu kutumia akili wewe!! Kwa mawazo haya ndio maana ccm wanawaona wananchi wote wa nchi hii ni HAMNAZO!! Polisi walitimiza jukumu lao la kikatiba, huo ni ushamba tu!! Mala ngapi hata inapotokea mwanajeshi amepigwa/ibiwa na wakamkamata mhusika, lakini bado wakapiga raia?!!
Wakikabidhiwa wanaweza wakamuua kifo kibaya kupitia adhabu kali watakayompa itakayopelekea afe kifo chenye maumivu makaliWewe naye sijui umekunywa ulanzi asubuhi yote hii
Wamkabidhi kwa jeshi kwa sheria ipi?
Hilo ni jukumu la polisi hao wajeda washenzi wasiokuwa na akili ilitakiwa watulie huko kambini kwao
Na ilitakiwa Kato afanywe hivyo haraka sanaWakikabidhiwa wanaweza wakamuua kifo kibaya kupitia adhabu kali watakayompa itakayopelekea afe kifo chenye maumivu makali
Sasa kama kosa ni la polisi, kwanini wasiende huko kwenye vituo vya polisi waanze kuwatembezea vichapo??! Raia kosa lao ni nini hapo?
Kama katiba haiheshimiwi waTz pona yetu ipo pale ambapo tutapata viongozi wenye busara ya asili.Wachangiaji muwe makini sishabikii ila nimeweka kitu fulani aina ya reciprocal opportunity to action
You can call them pig fighters, such kind of act is done by all spies of pigs, call it a memorable shameKupiga Watu wasiohusika ni dalili ya uoga. Kutisha Watu wasijue udhaifu wako.