ksksk
JF-Expert Member
- Aug 24, 2022
- 301
- 713
Nchi ina Katiba na Sheria zake sasa kwanini wamkabidhi huyo mtuhumiwa wakati Jeshi la polisi tayari limetimiza wajibu wa kuumpata mtuhumiwa kinachofuata ni Mahakama kufanya yake mleta mada unahalalisha haramu kuwa kuwa halali ili watu waone ni kawaida eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app