Raia wa Kichina (mfanyabiashara ) achezea kichapo leo Kariakoo kutoka kwa kina mama wanyonge wenye hasira kali

Raia wa Kichina (mfanyabiashara ) achezea kichapo leo Kariakoo kutoka kwa kina mama wanyonge wenye hasira kali

Ila wanaume wa kariakoo mmetia aibu ndio Nini kukaa mbali hivyo, akina Atuganile na mwezie hapo utafikiri wapo kwenye kamati ya wafanyabiashara
 
Sasa Hawa kina Shivooo si wanapiganaga na watu mpaka 20..
Acha kuangalia cinema za Kichina wewe Ntoto ya inzi sauwaa?
zinakudanganya hizo drama za kina Ling shen sheng
mambo kwa ground ni tofauti hapo kina mama Tuntufye Malafyale kutoka kyela si umeona show yao?
😁😁
 
Acha kuangalia cinema za Kichina wewe Ntoto ya inzi sauwaa?
zinakudanganya hizo drama za kina Ling shen sheng
mambo kwa ground ni tofauti hapo kina mama Tuntufye Malafyale kutoka kyela si umeona show yao?
😁😁
Ungesoma hiyo comment "between the lines" ...ungeelewa Nini maana ya "sarcasm"..na usingejibu ulivyojibu... Sasa elewa terminology na huo msemo ...halafu Rudia comment yangu ..ndio utanielewa ...vitu vingine ni rahisi sana ...ila Kwa kuwa mnasomaga kujibu na sio kusoma kuelewa haujaelewa kabisa Nini nilimaanisha.
 
Ungesoma hiyo comment "between the lines" ...ungeelewa Nini maana ya "sarcasm"..na usingejibu ulivyojibu... Sasa elewa terminology na huo msemo ...halafu Rudia comment yangu ..ndio utanielewa ...vitu vingine ni rahisi sana ...ila Kwa kuwa mnasomaga kujibu na sio kusoma kuelewa haujaelewa kabisa Nini nilimaanisha.
Mboni nilikuelewi tu Ntu wangu sema ni vilo tu unachukulii mambo serious sano hapo nilitoki nje ya topic kuchekeshi tu!

(In Bambo voices)
😁😁
 
Back
Top Bottom