UAMSHOEti case ya ugaidi mtu aanapewa dhamana
Trump kashinda tayari.
Trump kashinda tayari.
sisi masikini tupo m55 tunaotegemea kuishi kwa misaada ya MEBEBERU tumijiandikisha 29m zaidi ya nusu ya wananchi wote kuchagua viongozi. hii ndo tanzania yetu. matokeo wamepiga kura hawazidi m15 hivo ni nusu nzima ya waliojiandikisha hawakupiga. hii ni kutokana na usanii mwingi tu.Popular vote:
Donald Trump: 48.6% - 61,338,764
Joe Biden: 49.8% - 62,937,513
View attachment 1619213
Wanaendelea kuhesabu na mshindi anatakiwa kuwa na 270! 224( Biden) anahitaji 44, 213(Trump) anahitaji 57 ili ashinde
224/213 (blue/red) as at 09:35 EAT.No sio kweli, bado haijajulikana mpaka sasa ingawa biden ana elwctoral colleage 215 na trump 171
Sawa, kwa hiyo sisi huku Tanzania tufanyeje na maisha yetu, tusifanye kazi au kuwaza?Kwa Hali ilivyo mpaka Sasa Trump ameshashinda uchaguzi, ni ngumu kwa Joe Biden kupindua meza kwenye majimbo ya north Carolina, Florida, Texas, Ohio, Georgia, Pennsylvania na Wisconsin
Hongera Trump
Huyo ndio bye bye.... Hatakiwi marekani
You're entitled to your opinion but that's the truth. With all its mineral riches and the fertile land, the continent has nothing to show in development terms.Daah nakusikitikia sana Ndugu yangu
Mkuu wanaangalia projections mpaka sasa Trump anaongoza kwenye majimbo mengi muhim. Akibeba Pennsylvania,Wisconsin na Michigan uchaguzi umeshaisha.View attachment 1619213
Wanaendelea kuhesabu na mshindi anatakiwa kuwa na 270! 224( Biden) anahitaji 44, 213(Trump) anahitaji 57 ili ashinde
Huyo ndio bye bye.... Hatakiwi marekani