Raia wa Marekani wapiga kura kumchagua Rais mpya kati ya Donald Trump anayewania muhula wa pili au mpinzani wake Joe Biden

Raia wa Marekani wapiga kura kumchagua Rais mpya kati ya Donald Trump anayewania muhula wa pili au mpinzani wake Joe Biden

Marekani kw Mara ya Kwanza guns sales zimeshoot to the all time record. Tension ni kubwa Kuna uwezekano wakachapana risasi.

Military imekuwa deployed kwenye vituo vya kupigia kura kwa mara ya kwanza USA.

Kwa mara ya kwanza waangalizi wa masuala ya ghasia kwenye uchaguzi wamepiga kambi USA.

Kwa mara ya kwanza USA masanduku ya kura yamekamatwa yakiwa tayari yamepigwa kura ya Trump.

Unaelekea kuwa uchafuzi na kwao. Democracy ni ngumu nyie.
 
Screenshot_20201104-064047.jpg
 
Democrats retain House of Representative
 
Kwa Hali ilivyo mpaka Sasa Trump ameshashinda uchaguzi, ni ngumu kwa Joe Biden kupindua meza kwenye majimbo ya north Carolina, Florida, Texas, Ohio, Georgia, Pennsylvania na Wisconsin

Hongera Trump
 
Marekani kuna vyama vingi vya siasa mbali na Democrat na Republicans.
Uchaguzi wa marekani mwaka 2020 una wagombea zaidi ya kumi toka vyama tofauti na hivyo viwili lakini pia marekani inaruhusu mgombea binafsi.

Hawa baadhi wagombea wa USA mwaka huu ukitoa Trump na Biden.
  1. Howie Hawkins wa chama cha Green Socialist
  2. Jo Jorgensen wa chama cha Libertarian
  3. Don Blankenship wa chama cha Constitution
  4. Brian T. Carroll wa chama cha American Solidarity.
  5. Roque De La Fuente wa chama cha American Delta Party
Kuhitimisha kuna wgombea 21 kwenye nafasi ya uraisi wa marekani, lakini sio majimbo yote hao wagombea watatokea kwenye ballots. Majimbo yatakayokuwa na wagombea wote ni Vermont na Colorado. Pitia hii linki Presidential candidates, 2020 - Ballotpedia kuelewa jinsi uchaguzi wa US unavyofanyika na pia kuwafahamu wagombea wengine.

Tunawajuwa Trump na Biden kwa sababu wanatoka kwenye vyama vikubwa na vikongwe nchini Marekani ila vyama vya siasa vipo vingi.
Shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom