Raia wa Pakistan asiyejulikana anayeishi Marekani atoa msaada wa zaidi ya bilioni 60 kwa wahanga wa Tetemeko la Uturuki

Una uhakika ni Muislam huyo!?
Christian Ronaldo amewahi kutoa msaada kwa Wapalestina na si muislam,acheni ubaguzi.
Aliita camera hapo ndo alipo haribu, kwani ukitoa bila kujitangaza hiyo sadaqa haifiki?
 
Umekuwa msemaji wa huyo bilionea wa kituruki, hivyo ndivyo alivyokuambia ?
 
Umekuwa msemaji wa huyo bilionea wa kituruki, hivyo ndivyo alivyokuambia ?
Mkuu hilo ni jambo la wazi akijitokeza kwamba ni yeye huo msada utabadilika kua wa kisiasa na hautapokelea, na hili jambo linajulikana kwa yoyote anae fuatilia masuala ya kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ