Raia wa Pakistan asiyejulikana anayeishi Marekani atoa msaada wa zaidi ya bilioni 60 kwa wahanga wa Tetemeko la Uturuki

Raia wa Pakistan asiyejulikana anayeishi Marekani atoa msaada wa zaidi ya bilioni 60 kwa wahanga wa Tetemeko la Uturuki

kwani uislamu ni nini?
Neno "Uislam" linamaanisha "kujisalimisha kwa mapenzi ya Mungu."

Wafuasi wa Uislam wanaitwa Waislam.

Waislam wanaamini Mungu mmoja na wanaabudu Mungu mmoja, ajuaye yote, hajazaa waka kuzaliwa na hafanani na yeyote/ chochote ambaye kwa Kiarabu anajulikana kama Allah.

Wafuasi wa Uislam wanalenga kuishi maisha ya kujisalimisha kikamilifu kwa Allah (Mwenyezi Mungu). Wanaamini kwamba hakuna kitu kinachoweza kutokea bila idhini ya Allah (Mwenyezi Mungu) , lakini wanadamu wana hiyari huru (freewill).
 
Neno "Uislam" linamaanisha "kujisalimisha kwa mapenzi ya Mungu."

Wafuasi wa Uislam wanaitwa Waislam.

Waislam wanaamini Mungu mmoja na wanaabudu Mungu mmoja, ajuaye yote, hajazaa waka kuzaliwa na hafanani na yeyote/ chochote ambaye kwa Kiarabu anajulikana kama Allah.

Wafuasi wa Uislam wanalenga kuishi maisha ya kujisalimisha kikamilifu kwa Allah (Mwenyezi Mungu). Wanaamini kwamba hakuna kitu kinachoweza kutokea bila idhini ya Allah (Mwenyezi Mungu) , lakini wanadamu wana hiyari huru (freewill).
Kwahiyo hata waumini wa dini ya kihindu nao si watakuwa waislamu kwasababu nao wanajisalimisha kwa mungu wao mtakatifu? Waumini wa dini ya kiyahudi nao ni waislamu kwakuwa wanajisalimisha kwa mungu wao mmoja?
 
Hii ndio namna nzuri ya kusaidia, sio unakuja kusaidia makamera mengi unaitisha press ya habari. Msaada unageuka kupata umaarufu. Tuna la kujifunza hapa.
 
Back
Top Bottom