DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hivi unajua taratibu za Raia wa kigeni kuingia yoyote?
Wewe ulienda nchi Gani bila vibali au passport ukawa salama?

Nimekuuliza watu kuongea Kinyarwanda ambacho kipo closely related na kirundi na Kiha kinakupa uhakika gani ni wahamiaji haramu?

Wabongo wanaishi London downtown na wanaongea Kiswahili, hiyo ni proof kwamba ni wahamiaji haramu?
 
Nimekuuliza watu kuongea Kinyarwanda ambacho kipo closely related na kirundi na Kiha kinakupa uhakika gani ni wahamiaji haramu?

Wabongo wanaishi London downtown na wanaongea Kiswahili, hiyo ni proof kwamba ni wahamiaji haramu?
Huna unalolijua ndo maana unaropoka ujinga
Kwahiyo wewe umemzidi CDF aliyesema Kuna hadi viongozi wa ngazi za juu ambao uraia wao una mashaka?
Wanyarwanda ni wengi hasa Kagera na hawafati taratibu zozote, hapo Dar wapo na hawana vibali
 
Huna unalolijua ndo maana unaropoka ujinga
Kwahiyo wewe umemzidi CDF aliyesema Kuna hadi viongozi wa ngazi za juu ambao uraia wao una mashaka?
Wanyarwanda ni wengi hasa Kagera na hawafati taratibu zozote, hapo Dar wapo na hawana vibali

Wabongo wapo hadi omba omba Nairobi. Malawi, Zambia, Uganda kote huko wabongo wamejaza. USA, Canada, UK kote wabongo wapo.

Mipakani watu kuingiliana ni kawaida. Wamasai, wakurya, wajita, waha, wanyakyusa, wamakonde nk wapo TZ na nchi wanazopakana nazo. Sijui nini Cha ajabu hapo.

Huyo CDF wenu aliropoka hadi Leo kashindwa toa proof hata moja.

Mitanganyika kinachowasumbua ni ushamba na inferiority complex. Mkisikia Rwanda, kanchi kadogo kama ghetto na Kenya mnaloa hapo hapo. Ujamaa uliwapa unyonge wa maisha mmekua kama maboya.
 
Kwa hiyo na sisi tusiongee kiswahili tukiwa nje maana watasema ni wahamiaji haramu
Hii dunia ni ndogo sana leo na watu wanazunguka kila sehemu iwe kikazi na hata biashara
Hao watakuwa labda ni wafanyabiashara maana nchi imefunguka na dunia ni kijiji
Hata watz wamejaa nchi jirani na kila leo wanahamia iwe Kenya, Ug, kwa Mr Slim na kwingine
Kama ni wakimbizi mbona wanadakwa kila leo
 
Wabongo wapo hadi omba omba Nairobi. Malawi, Zambia, Uganda kote huko wabongo wamejaza. USA, Canada, UK kote wabongo wapo.

Mipakani watu kuingiliana ni kawaida. Wamasai, wakurya, wajita, waha, wanyakyusa, wamakonde nk wapo TZ na nchi wanazopakana nazo. Sijui nini Cha ajabu hapo.

Huyo CDF wenu aliropoka hadi Leo kashindwa toa proof hata moja.

Mitanganyika kinachowasumbua ni ushamba na inferiority complex. Mkisikia Rwanda, kanchi kadogo kama ghetto na Kenya mnaloa hapo hapo. Ujamaa uliwapa unyonge wa maisha mmekua kama maboya.
Hayo makabila uliyotaja ya mpakani hayajaajiriwa katika nchi hizo
 
Hayo makabila uliyotaja ya mpakani hayajaajiriwa katika nchi hizo


Screenshot_20250119_170414_Instagram.jpg


Huyu Hapo kaajiriwa tena huko huko Rwanda mnakoloa mkipasikia tu.

Wabongo wameajiriwa hadi CIA ndo sembuse kwenye hivyo vinchi vya hovyo?

Trump kamchagua Patel mwenye asili ya India kuwa director of FBI.

Mtu kuwa na asili ya nchi fulani hakukufanyi wewe kuwa mhamiaji haramu au less of a citizen.

Unaweza taja mnyarwanda mmoja tu aliyeajairiwa TZ serikalini? CDF wenu hajataja hadi Leo.

Wabongo wengi hamjui sheria na hamna exposure zaidi ya story za vijiweni.
 
Kwa hiyo na sisi tusiongee kiswahili tukiwa nje maana watasema ni wahamiaji haramu
Hii dunia ni ndogo sana leo na watu wanazunguka kila sehemu iwe kikazi na hata biashara
Hao watakuwa labda ni wafanyabiashara maana nchi imefunguka na dunia ni kijiji
Hata watz wamejaa nchi jirani na kila leo wanahamia iwe Kenya, Ug, kwa Mr Slim na kwingine
Kama ni wakimbizi mbona wanadakwa kila leo

Mitanganyika mishamba haijui Hilo.
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesima hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao

wengi ni spies. Wamejaa kila kona.Kuna dada alikuwa muhudumu wa bar Nyamongo. Mara kaenda Arusha. mara Dodoma. Kuna siku akaonekana Gisenyi.
Ukimuuliza anasema kwao Babati. Ila ana tabia tata sana
 
wengi ni spies. Wamejaa kila kona.Kuna dada alikuwa muhudumu wa bar Nyamongo. Mara kaenda Arusha. mara Dodoma. Kuna siku akaonekana Gisenyi.
Ukimuuliza anasema kwao Babati. Ila ana tabia tata sana

Spies kwa lipi hasa? Kwa umuhimu umuhimu gani au siri gani iliyopo Tanganyika? Huko bar ndo anapata siri za nchi?

Wabongo waliopo nchi jirani hadi huko Ulaya na America nao ni spies? Inferiority complex ya mitanganyika inashangaza sana.
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesima hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Shida sio wanyarwanda kupenyeza serikalini. Shida ni ccm kuluhusi kadi za ccm kuwa kigezo cha kupata ajira. Hata warabu wanapewa aridh, badari ili tu watowe hela za kusaidia ccm kubaki madarakani.
 
Back
Top Bottom