DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Niko mwanza kwa sasa, cha ajabu hapa jirani ninapoishi kuna vijana wengi wa kirundi wamepanga chumba kimoja wanauza mishkaki ile 200/= ,wanajiita eti waha wakati cjawahi kuwasikia hata siku moja wakiongea hicho kiha
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Usalama wa taifa sijui wanafanya kazi gani sijui aisee
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Ukienda Rwanda natumaini wapo watz kule hivyo sio ajabu uenda mmiliki wa bar ni mnyaru
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
CCM Hoyeee

Malizia na hiyo
 
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Mkulanga wapo kibao yaani wanadhalilisha Sana waha Hawa jamaa tangu lini muha akauza kahawa mitaani 😂😂
 
Nyie mmekatazwa kwenda kwao?

Mtu kuongea kinyarwanda inamaanisha ni mhamiaji haramu?

FYI: Ha language, also called Kiha, Ikiha or Giha. It is closely related to the Kirundi and Kinyarwanda spoken in neighbouring Burundi and Rwanda, and belongs to the Niger-Congo family of languages.[4

Mitanganyika mna inferiority complex ya ajabu sana. Kitu chochote kile cha nje mnaogopa na kuwa wanyonge ghafla ndo maana mwendazake alikua anawaita wanyonge maana ni wanyonge kweli. Mkisika tu Rwanda au Kenya mnaloa. Jielimisheni dunia imekua kijiji kila kitu kinashindaniwa globally nyie endeleeni na unyonge unyonge wenu hadi mnyongwe.
Utakuwa ni mmoja wapo, umeongea kwa hasira
 
Huna unalolijua ndo maana unaropoka ujinga
Kwahiyo wewe umemzidi CDF aliyesema Kuna hadi viongozi wa ngazi za juu ambao uraia wao una mashaka?
Wanyarwanda ni wengi hasa Kagera na hawafati taratibu zozote, hapo Dar wapo na hawana vibali
Huyo atakuwa mmoja wanyarwanda wahamiaji haramu. Anajaribu kutuliza mada, anahofia operesheni kimbunga
 
kwa
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
kwani wanyarwanda si ni waafrika au?
 
Uwepo wa raiya wa kigeni ndani ya nchi si jambo la kuogofya. Tatizo ni pale uwepo wao kutofuata kanuni, taratibu na sheria. Mbaya zaidi wageni hao kutotambulika na mamlaka husiko (wako wapi, idadi yao na wanajihusisha na shughuli gani).

Katika kuimarasha Ulinzi na Usalama katika taifa lolote, mamlaka za nchi husika huweka utaratibu wa kung’amua na kusimamia mienendo ya utokaji na uingiaji wa raiya wake na wageni. Hivyo basi, vyombo vyenye dhaman katika hili inabid ijisahihishe

22-01-2024 katika hafla ya kufunga Mkutano wa Saba wa Mkuu wa Majeshi na Makamanda, Mkuu wa Majeshi Jenerali J Mkunda aliwasilisha kwa Amiri Jeshi Mkuu SSH hofu/hatari ya wahamiaji haramu na wakimbizi kuteuliwa katika nyadhifa za kimaamuzi serikalini na wengine kuajiriwa huku wazawa kukosa fursa hizo.

Ni kweli pasipo na shaka Tanzania Bara(Tanganyika) tumeathirika pakubwa zaidi ya wenzetu (Zanzibar), hii ni kutokana na Chombo kilichopewa dhamana kulisimamia hili kushindwa kutekeleza wajibu wake kikamilifu, yaweza kuwa ni kutokana na kukosa watu sahihi wenye sifa za kuisimamia Idara ya husika kutokana na rushwa, upendeleo au mapandikizi ndani ya Idara.
 
Uwepo wa raiya wa kigeni ndani ya nchi si jambo la kuogofya. Tatizo ni pale uwepo wao kutofuata kanuni, taratibu na sheria. Mbaya zaidi wageni hao kutotambulika na mamlaka husiko (wako wapi, idadi yao na wanajihusisha na shughuli gani).

Katika kuimarasha Ulinzi na Usalama katika taifa lolote, mamlaka za nchi husika huweka utaratibu wa kung’amua na kusimamia mienendo ya utokaji na uingiaji wa raiya wake na wageni. Hivyo basi, vyombo vyenye dhaman katika hili inabid ijisahihishe

22-01-2024 katika hafla ya kufunga Mkutano wa Saba wa Mkuu wa Majeshi na Makamanda, Mkuu wa Majeshi Jenerali J Mkunda aliwasilisha kwa Amiri Jeshi Mkuu SSH hofu/hatari ya wahamiaji haramu na wakimbizi kuteuliwa katika nyadhifa za kimaamuzi serikalini na wengine kuajiriwa huku wazawa kukosa fursa hizo.

Ni kweli pasipo na shaka Tanzania Bara(Tanganyika) tumeathirika pakubwa zaidi ya wenzetu (Zanzibar), hii ni kutokana na Chombo kilichopewa dhamana kulisimamia hili kushindwa kutekeleza wajibu wake kikamilifu, yaweza kuwa ni kutokana na kukosa watu sahihi wenye sifa za kuisimamia Idara ya husika kutokana na rushwa, upendeleo au mapandikizi ndani ya Idara.
Umenena madini matupu
 
Back
Top Bottom