DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unajuaje kuwa Rais hajapewa au ndo inferiority complex inayokusumbua?

Kama kapewa kapuuza maana haina tija. Mtu huwezi kuwa sio mtanzania, mhamiaji haramu ukapewa kitengo. Hata CCM tu hupewi ujumbe kama wewe haupo kwenye mfumo au sio nyie mnaolia kila siku kwamba CCM ina watu wake? Story za vijiweni.
 
Uwepo wa raiya wa kigeni ndani ya nchi si jambo la kuogofya. Tatizo ni pale uwepo wao kutofuata kanuni, taratibu na sheria. Mbaya zaidi wageni hao kutotambulika na mamlaka husiko (wako wapi, idadi yao na wanajihusisha na shughuli gani).

Katika kuimarasha Ulinzi na Usalama katika taifa lolote, mamlaka za nchi husika huweka utaratibu wa kung’amua na kusimamia mienendo ya utokaji na uingiaji wa raiya wake na wageni. Hivyo basi, vyombo vyenye dhaman katika hili inabid ijisahihishe

22-01-2024 katika hafla ya kufunga Mkutano wa Saba wa Mkuu wa Majeshi na Makamanda, Mkuu wa Majeshi Jenerali J Mkunda aliwasilisha kwa Amiri Jeshi Mkuu SSH hofu/hatari ya wahamiaji haramu na wakimbizi kuteuliwa katika nyadhifa za kimaamuzi serikalini na wengine kuajiriwa huku wazawa kukosa fursa hizo.

Ni kweli pasipo na shaka Tanzania Bara(Tanganyika) tumeathirika pakubwa zaidi ya wenzetu (Zanzibar), hii ni kutokana na Chombo kilichopewa dhamana kulisimamia hili kushindwa kutekeleza wajibu wake kikamilifu, yaweza kuwa ni kutokana na kukosa watu sahihi wenye sifa za kuisimamia Idara ya husika kutokana na rushwa, upendeleo au mapandikizi ndani ya Idara.

Wenzako wanasikia mtu anaongea kinyarwanda tu wanasema ni spy eti inahatarisha usalama wa nchi. Mitanganyika mingi bado mijinga.
 
Unajionesha wazi huna akili timamu
We utaishia Rwanda na kitambulisho cha mpiga kura au bila taratibu

As of 2022, there were approximately 11 million undocumented immigrants in the United States. This number represents about 3.3% of the country's total population. Ndo sembuse hako kanchi kenu.

Hiyo ni US super power number moja duniani ndo sembuse hako kanchi kama choo.
 
Kama kapewa kapuuza maana haina tija. Mtu huwezi kuwa sio mtanzania, mhamiaji haramu ukapewa kitengo. Hata CCM tu hupewi ujumbe kama wewe haupo kwenye mfumo au sio nyie mnaolia kila siku kwamba CCM ina watu wake? Story za vijiweni.
Yawezekana hajapuuza na ashafanyia kazi kwani mpaka akupe taarifa huoni kuwa ni taarifa ya kiiintejensia?
 
Huna unalolijua ndo maana unaropoka ujinga
Kwahiyo wewe umemzidi CDF aliyesema Kuna hadi viongozi wa ngazi za juu ambao uraia wao una mashaka?
Wanyarwanda ni wengi hasa Kagera na hawafati taratibu zozote, hapo Dar wapo na hawana vibali
Kuna siku nilikuwa mishemishe akaja mtu Fulani kuomba kibarua nilipomhoji maswali mawili matatu alitoka kama anakojoa
 
Hata wakiwa wengi kiasi gani kama hawapo kihalali watafukuzwa na mamlaka au kufungiwa hata sisi kama huko kihalali lazima tupige kelele Hilo lakutaka tukae kimya kisa Kuna wabongo wengine wapo nchi nyingine ndo inferiority complex yenyewe

Sijatetea uhamiaji haram nimepoint out inferiority complex ya wabongo against warwanda na wakenya.

Mbongo akisikia mrwanda au mkenya analoa hapo hapo kama huyu mleta uzi. Mtu kuongea kinyarwanda sio sababu tosha kwamba ni spy au anahatarisha usalama wa taifa. Umeangalia documents zake? Unajua status yake nchini?

Hizi kelele husikii against wamalawi, waganda, warundi nk. Ni kwa warwanda na wakenya, hii ni inferiority complex iliyojengeka kwa wabongo wengi ipo mitaani kote kila mtu anajua. Ukiuliza nini chanzo hasa hakuna jibu lenye tija zaidi ya story za mitaani.

Mbongo akiambiwa kuna kazi anashindana na mkenya au mrwanda hawezi enda hata kwenye interview analoa hapo hapo. Dunia ya leo ni kijiji kuogopa watu sababu ya uraia wao ni ujinga, mtu hawi spy au kuhatarisha usalama wa taifa au kuwa mhamiaji haramu sababu tu ni mgeni.
 
Niko mwanza kwa sasa, cha ajabu hapa jirani ninapoishi kuna vijana wengi wa kirundi wamepanga chumba kimoja wanauza mishkaki ile 200/= ,wanajiita eti waha wakati cjawahi kuwasikia hata siku moja wakiongea hicho kiha
Kigamboni Mwasonga kumejaa warundi wenyewe wanajiita Waha

Ila huwezi sikia wabongo wakilalamika warundi wanahatarisha usalama wa taifa. Wapo comfortable kabisa ila the moment wamesikia mtu ni mrwanda wanaloa hapo hapo. This proves my point wabongo wana inferiority complex against warwanda nothing more.
 
Sijatetea uhamiaji haram nimepoint out inferiority complex ya wabongo against warwanda na wakenya.

Mbongo akisikia mrwanda au mkenya analoa hapo hapo kama huyu mleta uzi. Mtu kuongea kinyarwanda sio sababu tosha kwamba ni spy au anahatarisha usalama wa taifa. Umeangalia documents zake? Unajua status yake nchini?

Hizi kelele husikii against wamalawi, waganda, warundi nk. Ni kwa warwanda na wakenya, hii ni inferiority complex iliyojengeka kwa wabongo wengi ipo mitaani kote kila mtu anajua. Ukiuliza nini chanzo hasa hakuna jibu lenye tija zaidi ya story za mitaani.

Mbongo akiambiwa kuna kazi anashindana na mkenya au mrwanda hawezi enda hata kwenye interview analoa hapo hapo. Dunia ya leo ni kijiji kuogopa watu sababu ya uraia wao ni ujinga, mtu hawi spy au kuhatarisha usalama wa taifa au kuwa mhamiaji
Your content
haramu sababu tu ni mgeni.
Hizo ni hisia zako binafsi hakuna ayewaaza warwanda hata siku mmoja na Rwanda hawajafikia mchallenge mTazanzia yeyote kwenye nafasi yoyote ya ajira labda Kenya hapo zamani kwenye ualimu wa English medium ila Kwa upande wa Rwanda hawajawahi kuwa washindani sema umewanganisha wakenya kwenye hoja yako ili uonekane relevant na hiyo ndo inferiority complex yenyewe
 
Yawezekana hajapuuza na ashafanyia kazi kwani mpaka akupe taarifa huoni kuwa ni taarifa ya kiiintejensia?

Kumbe.

Nitajie mtu mmoja tu aliyetolewa kwenye mfumo na kuachwa nje mazima zaidi ya reshuffles anazofanya maza kila siku?

Hii bongo hupewi kitengo kama wewe haupo kwenye mfumo wa CCM nyie endeleeni kujidanganya mtu anatoka huko alipotoka bila any background anapewa kitengo nchini.

CDF alisema kuna wahamiaji haramu serikalini tulitegemea huyo mtu afukuzwe na kufikishwa mahakamani anything short of that ni kupuuza ushauri wake. Hakuna siri kwenye hilo kila mtu angeona tungesikia hata mtu kafukuzwa kazi.
 
Wakati mwingine ni uoga usio na mashiko tu, kama Wahindi na Waarabu wameweza kuwa raia wa Tanzania hao ndugu zetu weusi kabisa wa Rwanda, Kenya, Malawi n.k ndio iwe nongwa?!
 
Sisi kazi yetu ni kuzikumbusha mamlaka kufanya kazi Yao na popote penye viashiria vya jinai na uhamiaji Haram lazima tuzikumbushe mamlaka na lazima tulinde nchi yetu Kwa wivu mkubwa sana hayo ya CDF yawezekana yalishafanyiwa kazi zamani sana
Jikiteni na rushwa, usafi n.k wahamiaji haramu sio tatizo nchi hii.
 
Sijatetea uhamiaji haram nimepoint out inferiority complex ya wabongo against warwanda na wakenya.

Mbongo akisikia mrwanda au mkenya analoa hapo hapo kama huyu mleta uzi. Mtu kuongea kinyarwanda sio sababu tosha kwamba ni spy au anahatarisha usalama wa taifa. Umeangalia documents zake? Unajua status yake nchini?

Hizi kelele husikii against wamalawi, waganda, warundi nk. Ni kwa warwanda na wakenya, hii ni inferiority complex iliyojengeka kwa wabongo wengi ipo mitaani kote kila mtu anajua. Ukiuliza nini chanzo hasa hakuna jibu lenye tija zaidi ya story za mitaani.

Mbongo akiambiwa kuna kazi anashindana na mkenya au mrwanda hawezi enda hata kwenye interview analoa hapo hapo. Dunia ya leo ni kijiji kuogopa watu sababu ya uraia wao ni ujinga, mtu hawi spy au kuhatarisha usalama wa taifa au kuwa mhamiaji haramu sababu tu ni mgeni.
Unatia mashaka, logic hapa ni kwamba Kuna wahamiaji haramu wanakula mema ya nchi yetu ilihali Kuna watz wanasota, Inaonekana na wewe ndo wale maintluders via Namanga and Mtukula.
 
Hizo ni hisia zako binafsi hakuna ayewaaza warwanda hata siku mmoja na Rwanda hawajafikia mchallenge mTazanzia yeyote kwenye nafasi yoyote ya ajira labda Kenya hapo zamani kwenye ualimu wa English medium ila Kwa upande wa Rwanda hawajawahi kuwa washindani sema umewanganisha wakenya kwenye hoja yako ili uonekane relevant na hiyo ndo inferiority complex yenyewe

You must be slow.

Hizi topics za kuogopoa wakenya na warwanda zipo kibao humu, a quick search utapata majibu yako.

Kwenye uzi huu huu kuna watu wanasema wanaishi na warundi ila husikii kelele zozote kuhusu warundi.

Nenda Mbeya siku hizi nyumba zote house maids ni wamalawi ila husikii kelele zozote kuhusu wamalawi.

DSM kuna hadi mtaa wa Congo, kuna hadi wasanii wakubwa kabisa na mapastor toka Congo husikii habari za usalama wa nchi kuwa rehani au kuwa hao watu ni spies.

Mtu kuongea kirwanda, ambacho ni sawa na kiha labda lafudhi tu, hapo hapo mitanganyika inaloa eti usalama wa nchi. Mitanganyika hovyo sana.
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Mikoa ya mipakani haya mambo yapo......na sababu kubwa ni watu wa maeneo hayo kuoana na kuzaliana kwa wingi......wengi wa hao unaosema utakuta aidha baba au mama ni raia wa nchi mojawapo sasa akikua anachagua a base wapi au hata familia inaweza ikaamua apewe connection upande upi........hio hata wakenya wanaifanya kwa kule kaskazini japo wao hawaingii serikalini wanaangalia fursa za ardhi na biashara tu.......atakuja bongo atazaa na mtu wa huku na yule mtoto atamtumia kumiliki ardhi au biashara kama mzawa
 
Unajitetea sana ili ionekane kuwa ni jambo la kawaida ninyi kuwa hapa nchni, na wakati huohuo si kawaida sisi kuwa nchini mwenu, tunaweza kuwepo nchini mwenu lakini ni kwa tahadhari na taratibu kibao... Ninyi mnaingia tu nchini mwetu...

Sasa kwanini muingie kinyemela kama hamjaja kwa ubaya?, kwanini mjilinde kwa kuwa na vitambulisho vya kugushi vya uraia na kadi za vyama kama hamjaja kwa ubaya?
Kwanini muishi kimagendo kwa kuficha uraia wenu kama hamjaja kwa ubaya?

Unajuaje mtu kaingia kinyemela wakati hujui status yake nchini? Wewe unawakagua papers zao?
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Hata kahama ni wengi hadi warundi, wa kongo wengine wana endesha boda. Ni kweri kuna uzembe maana mm hua na safari sana na basi,wale jamaa wa kukagua vibari wana ingia na kutoka bila kukagua bitambulisho.
 
Back
Top Bottom