Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima watusi, ukiwa dhaifu jirani yoyote anaweza kumega ardhi yakoWatusi wakiwa wengi miaka akasonga,huwa wanatabia ya kung'ang'ania kumegewa kipande cha ardhi waunde nchi yao.
Serikali ikikataa wanashika bunduki.
Congo.Pia karne ijayo watafanya hivyo Tanzania mikoa ya kanda ya ziwa.Kama wapi wamefanya hivyo??
Unaelewa Nini kuhusu mema ya nchi?Mema ya nchi yapi hayo? Unaweza taja kitengo kimoja walichoshika?
Sio wabongo wote bali wachache wasiojiamini. Mtu yupp nchini kwake anaogopa mrwanda na mkenya, huyo mtu ataweza kufanya nini kwenye taifa kama marekani ambalo Kuna mamilioni ya raia kutoka karibu kila nchi
Kenya watanzania wapo tena wanafanya shughuli za chini mno, Uganda wapo, Ila kwetu unasikia hizi kelele. Kama vibali wanavyo sioni shida, na waliozaliwa hapa pia sioni shida. Wabongo tumekkua na akili dumavu
Watusi washatuonyesha mfano na dhana yao ya kutawala nchi za maziwa makuu.Sio lazima watusi, ukiwa dhaifu jirani yoyote anaweza kumega ardhi yako
Kwaiyo mtaa wa congo wanaishi wacongo?
Kumbe unasikia, means nchi jirani hawana mifugo, mashamba pamoja na Majumba?Hapana, nasikia wengine wanachunga ng'ombe maporini, wengine ni housegirls, shamba boys n.k
Hizi ni akili za vijiweni.Watusi washatuonyesha mfano na dhana yao ya kutawala nchi za maziwa makuu.
Kila mtu abaki nchini kwao hatutaki maelezo ya kifalsafa wala ngonjera.Sio wabongo wote bali wachache wasiojiamini. Mtu yupp nchini kwake anaogopa mrwanda na mkenya, huyo mtu ataweza kufanya nini kwenye taifa kama marekani ambalo Kuna mamilioni ya raia kutoka karibu kila nchi
Kenya watanzania wapo tena wanafanya shughuli za chini mno, Uganda wapo, Ila kwetu unasikia hizi kelele. Kama vibali wanavyo sioni shida, na waliozaliwa hapa pia sioni shida. Wabongo tumekkua na akili dumavu
Sio akili za vijiweni ni akili mnembe.Hizi ni akili za vijiweni.
Wamasai ni kabila la Kenya au Tanzania?Congo.Pia karne ijayo watafanya hivyo Tanzania mikoa ya kanda ya ziwa.
Leo hii kijana na nyoka wa kikwete Lugumi ame fall in love na binti wa kinyarwanda ili hali jamaa ana mke tena ni binti wa bosi mstaafu wa polisi...kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Halafu wenyewe waTz wapo kimyaaaaa kana kwamba hakuna kinachoendelea.Tanzania na DRC ni mashamba ya Bibi. Bado hamjawataja raia wa Malawi, Kenya, Uganda, Nigeria, China, India, Uarabuni, nk. Wote hao na wenyewe wamejazana kwenye shamba la Bibi.
Na wakongo wamejazana wengi ila sijui kwanini malalamiko ni kwa Rwanda na kenya tu🤔Ila huwezi sikia wabongo wakilalamika warundi wanahatarisha usalama wa taifa. Wapo comfortable kabisa ila the moment wamesikia mtu ni mrwanda wanaloa hapo hapo. This proves my point wabongo wana inferiority complex against warwanda nothing more.
Topic zote zilizopo humu zinapinga uhamiaji Haram na sio ushindani wa ajira na ni ajira ipi hapa bongo mrwanda anaweza shindana na mtanganyika akashinda?Wewe mwenyewe DP yako ni picha ya PK that speaks volume.
Nimekwambia a quick search hapa hapa JF utapata majibu yako maana hii topic tumejadili mara kadhaa.
Siku zote wamatumbi mnapolalamika uhamiaji haramu huwa mnaongelea Rwanda na Kenya sio nchi zingie. Husikii hizi kelele kuhusu Malawa, Burundi au Congo ambao raia wao ni wengi zaidi nchini halali na haramu.
Mleta uzi kasikia mtu anaongea kinyarwanda tu kaloa, we unaona hiyo ni akili?
Kuna watu wanasema wanaishi na warundi ila husikii kelele kuhusu warundi.
Wamasai na wamakonde awajawai kulazimisha kuingizwa kwenye sekta za umma kwa lazima,na wala awajioni wao ni bora na wenye hadhi kuliko wengine,awana roho mbaya za kinyama.Wamasai ni kabila la Kenya au Tanzania?
Wamakonde ni kabila la Tanzania au Msumbiji?
Umesema kweli ila kwa maneno makali. Hupepesi hata macho munzhehe?Nyie mmekatazwa kwenda kwao?
Mtu kuongea kinyarwanda inamaanisha ni mhamiaji haramu?
FYI: Ha language, also called Kiha, Ikiha or Giha. It is closely related to the Kirundi and Kinyarwanda spoken in neighbouring Burundi and Rwanda, and belongs to the Niger-Congo family of languages.[4
Mitanganyika mna inferiority complex ya ajabu sana. Kitu chochote kile cha nje mnaogopa na kuwa wanyonge ghafla ndo maana mwendazake alikua anawaita wanyonge maana ni wanyonge kweli. Mkisika tu Rwanda au Kenya mnaloa. Jielimisheni dunia imekua kijiji kila kitu kinashindaniwa globally nyie endeleeni na unyonge unyonge wenu hadi mnyongwe.