DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
We Kagame feki ukijua kwanini umeweka picha ya Kagame utapata jibu lako. You're mentally defeated already.
Nakwambia najiamini ndo maana naweza kumkubali kagame na nikapinga uhamiaji Haram wa wanyarwanda Hadi warundi?

Sema inferiority complex ndo inakufanya uone tukipinga uhamiaji Haram uone kama tuna chuki binafsi na nyie hakuna nchi Wala raia wanaokubali wahamiaji Haram duniani
 
Yaani watanganyika tuuze chips, halafu na waburundi nao humo humo wamebanana wanauza chips?

Ukigeuka kushoto wakenya nao wamo wanauza mitumba na Kingereza chao cha ukwaju, HAIWEZEKANIII mrudi kwenyu msituletee vingereza vya Kijinga hapa.

Tanzania ni kwa ajili ya watanzania, hatutakubali kuona manyang'au yanajipenyeza, kwanza yanakuja kutuharibia uzao na sura zao mbaya wanatuchafulia sana DNA zetu mwisho tuanze kuzaa MASOKWE.

Kila mtu abaki kwao, hatutaki vingereza hapa.
 
Leo hii kijana na nyoka wa kikwete Lugumi ame fall in love na binti wa kinyarwanda ili hali jamaa ana mke tena ni binti wa bosi mstaafu wa polisi...

Vita ya kikwete na wanyarwanda haiwezi kumpa ushindi kikwete coz vijana wake wana tamaa kubwa ya ngono...

Lugumi kesha kwenda na maji...

Kwa taarifa yako wanyarwanda wapo hadi ikulu
Tutajie hata mmoja tukuamini
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
wapo wengi sana jijini Daslama. Uzuri ni rahisi sana kuwatambua kwa facial features zao na hata nywele zao
 
Bora wanyarwanda ila kuna hawa kenge wa kutoka BURUNDI aloo wanaingia nchini kama utitiri na wakijua kiswahili wanajiita WAHA,WASUBI,WASHUBI,WAHANGAZA ambapo hayo makabira mawili wanafanana lafudhi na pia wanasikilizana
Warunfi ni wengi sana wengi utawakuta masokoni jijini Daslama na hufanya kazi za kuuza kahawa. Hujifanya ni waha ila ni warudi typical
 
tunaokaa huku mipakani tunayaona mengi na hakika ni bomu la miaka ijayo. we tetea kwa ujuaji wako lakini tatizo linakuja. kuna athari zaidi ya alizozitaja mleta mada.

'ulinzi wa nchi yetu ni jukumu la mwananchi mwenyewe'
Nyie mmekatazwa kwenda kwao?

Mtu kuongea kinyarwanda inamaanisha ni mhamiaji haramu?

FYI: Ha language, also called Kiha, Ikiha or Giha. It is closely related to the Kirundi and Kinyarwanda spoken in neighbouring Burundi and Rwanda, and belongs to the Niger-Congo family of languages.[4

Mitanganyika mna inferiority complex ya ajabu sana. Kitu chochote kile cha nje mnaogopa na kuwa wanyonge ghafla ndo maana mwendazake alikua anawaita wanyonge maana ni wanyonge kweli. Mkisika tu Rwanda au Kenya mnaloa. Jielimisheni dunia imekua kijiji kila kitu kinashindaniwa globally nyie endeleeni na unyonge unyonge wenu hadi mnyongwe.
 
Wamasai na wamakonde awajawai kulazimisha kuingizwa kwenye sekta za umma kwa lazima,na wala awajioni wao ni bora na wenye hadhi kuliko wengine,awana roho mbaya za kinyama.
Hujajibu swali langu, Nimekuuliza hayo makabila ni raia wa nchi zipi kwa sababu hata historia huelewi unaposema Watusi "waliruhusiwa" kuingia Congo usijue kwamba kuna Watusi wamekuwepo Congo ya leo tangu karne 18 wakati ambapo hata hilo taifa la Congo lililotengenezwa na Wakoloni Wabelgiji halikuwepo.
 
Nchi yetu kuingilika mipakani ni rahisi sana ila kwa Rwanda ni ngumu mno kulingana mifumo waliyojiwekea
 
Binafsi nilienda kwenye mgahawa mmoja usiku kuchukua chakula take away, nikawakuta vijana wanaangalia taarifa kwenye simu yao iliyokuwa inazingumzwa na mwanajeshi wa Rwanda kinyarwanda, waliposhituka nipo karibu yao wakazima ghafla NAMI nikajifanya sijaelewa chochote.
 
Wamasai na wamakonde awajawai kulazimisha kuingizwa kwenye sekta za umma kwa lazima,na wala awajioni wao ni bora na wenye hadhi kuliko wengine,awana roho mbaya za kinyama.
Roho mbaya wakati mwingine ni jinsi wewe unavyoyatafsiri mambo, Wakenya wengi pia wanaona Watanzania wana roho mbaya kulinganisha na majirani zao wengine.
 
Nyie mmekatazwa kwenda kwao?

Mtu kuongea kinyarwanda inamaanisha ni mhamiaji haramu?

FYI: Ha language, also called Kiha, Ikiha or Giha. It is closely related to the Kirundi and Kinyarwanda spoken in neighbouring Burundi and Rwanda, and belongs to the Niger-Congo family of languages.[4

Mitanganyika mna inferiority complex ya ajabu sana. Kitu chochote kile cha nje mnaogopa na kuwa wanyonge ghafla ndo maana mwendazake alikua anawaita wanyonge maana ni wanyonge kweli. Mkisika tu Rwanda au Kenya mnaloa. Jielimisheni dunia imekua kijiji kila kitu kinashindaniwa globally nyie endeleeni na unyonge unyonge wenu hadi mnyongwe.
Unatokea Burundi au Rwanda?
 
Roho mbaya wakati mwingine ni jinsi wewe unavyoyatafsiri mambo, Wakenya wengi pia wanaona Watanzania wana roho mbaya kulinganisha na majirani zao wengine.
Unawapakazia wakenya mambo ya uongo,wapi na lini wakenya wamesema watanzania wanaroho mbaya?.wewe mbichwa wako una shida.
 
hakuna tatizo lolote waruwanda na waburundi kuishi ndani ya nchi yetu, ila kupata vitambulisho na vya tanzania na kupewa Passpoti ni jambo la hatari sana linalotokana na mfumo wa CCM wa rushwa mbele.
 
Unawapakazia wakenya mambo ya uongo,wapi na lini wakenya wamesema watanzania wanaroho mbaya?.wewe mbichwa wako una shida.
Wewe mbichwa wako ndio unashida na pia hujui Kingereza kwa hiyo umekalia tu mijadala ya Kiswahili.
 
wapo wengi sana jijini Daslama. Uzuri ni rahisi sana kuwatambua kwa facial features zao na hata nywele zao
Ukimuona Mwarabu, Mhindi au Msomali hapa Tanzania huwa unamtambua kama raia wa wapi kwa facial features zao na hata nywele zao??
 
Back
Top Bottom