DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nenda Burundi na Rwanda wamejazana kwao na vitambulisho vya kupigia kura vya tanzania na kadi za Ccm..


Sasa hivi wakiingia Tanzania wanatafuta kadi za Ccm wanasema ukiwa nayo husumbuliwi. Nilienda Hizo nchi nilisikitikia sana nchi yangu kuwa miaka ijayo kama 50 itatawaliwa na Wakimbizi au wavamizi.


Sasa mtanzania Nenda Rwanda uone unavyofuatiliwa kama jasusi
Wanyarwanda ni wengi Sana maana wengine wanakuja kama wachungaji yaani ni balaa
 
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Kwamba Mtu wa Rwanda anayezungumza Kinyarwanda hawezi kuwa Mtanzania ?, Vipi hawa ndugu zetu wahindi au hao zamu yao haijafika tuanze na hawa kwanza ?

Kama mtu ni muhamiaji haramu basi ahukumiwe kwa kutofuata taratibu ila sio kila muhamiaji ambaye sio wa kabila la Kitanganyika au Zanzibar basi ni Haramu / Sio Mtanzania.
 
Wabongo wapo hadi omba omba Nairobi. Malawi, Zambia, Uganda kote huko wabongo wamejaza. USA, Canada, UK kote wabongo wapo.

Mipakani watu kuingiliana ni kawaida. Wamasai, wakurya, wajita, waha, wanyakyusa, wamakonde nk wapo TZ na nchi wanazopakana nazo. Sijui nini Cha ajabu hapo.

Huyo CDF wenu aliropoka hadi Leo kashindwa toa proof hata moja.

Mitanganyika kinachowasumbua ni ushamba na inferiority complex. Mkisikia Rwanda, kanchi kadogo kama ghetto na Kenya mnaloa hapo hapo. Ujamaa uliwapa unyonge wa maisha mmekua kama maboya.
Mkui acha ujinga basi, nchi zote duniani zina athirika na uhamiaji harama,sio nchi tajiri wala za uchumi wa kati.
Nchi kama USA,UK,Germany,Denmark,Norway,Sweden na nyingi za Ulaya zipo well off kiuchumi zaidi lakini zinaathurika na uhamiji vipi Tanzania nchi maskini.
Kuwa na wahamiaji wengi katika nchi ina disturb uchumi wa nchi na mbaya zaidi unasababisha matatizo ya kijamii.
Mfano nchi za Ulaya ongezeko la uhalifu linatokana na wahamiaji haramu.
 
Kwamba Mtu wa Rwanda anayezungumza Kinyarwanda hawezi kuwa Mtanzania ?, Vipi hawa ndugu zetu wahindi au hao zamu yao haijafika tuanze na hawa kwanza ?

Kama mtu ni muhamiaji haramu basi ahukumiwe kwa kutofuata taratibu ila sio kila muhamiaji ambaye sio wa kabila la Kitanganyika au Zanzibar basi ni Haramu / Sio Mtanzania.
Tunapinga Uhamiaji haramu
Mkija kwenye Taifa letu, muwe na vibali kwanini mpite kwenye njia za panya
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Wasomali nao wamejazana kwa Aziz Ally huku wanamiliki hadi nyumba ni hatari sana warudi kwao vita somalia ishaisha kwann wanang'ang'ania nchini kwetu
 
Kwamba Mtu wa Rwanda anayezungumza Kinyarwanda hawezi kuwa Mtanzania ?, Vipi hawa ndugu zetu wahindi au hao zamu yao haijafika tuanze na hawa kwanza ?

Kama mtu ni muhamiaji haramu basi ahukumiwe kwa kutofuata taratibu ila sio kila muhamiaji ambaye sio wa kabila la Kitanganyika au Zanzibar basi ni Haramu / Sio Mtanzania.
Mtanzania anayezungumza kinyarandwa na mnyarandwa anayezungumza kinywarandwa lafuzi zao ni tofauti kabisa labda kuwe na exceptional kwa wachache ambao ni watanzania lakini wamekulia huko.
Hata wakurya wakenya waliopo karibu kabisa na Tarime na qwnye muingiliano mkubwa bado wakiongea kiswahili ni tofauti kabisa kwa hiyo ni rahisi sana kimtambua.
 
View attachment 3206914

Huyu Hapo kaajiriwa tena huko huko Rwanda mnakoloa mkipasikia tu.

Wabongo wameajiriwa hadi CIA ndo sembuse kwenye hivyo vinchi vya hovyo?

Trump kamchagua Patel mwenye asili ya India kuwa director of FBI.

Mtu kuwa na asili ya nchi fulani hakukufanyi wewe kuwa mhamiaji haramu au less of a citizen.

Unaweza taja mnyarwanda mmoja tu aliyeajairiwa TZ serikalini? CDF wenu hajataja hadi Leo.

Wabongo wengi hamjui sheria na hamna exposure zaidi ya story za vijiweni.
Eti wabongo wameajiriwa CIA, punguza ushamba brother

Just because umesoma nje, au kupata kazi nje haimaanishi umeajiriwa na CIA, lasi si hivyo kila mgeni anaefanya kazi tz ameajiriwa na TISS

The guy is bright, amefika hapo jitihada na neema za Mungu. He is bright
 
Wenzako wanasikia mtu anaongea kinyarwanda tu wanasema ni spy eti inahatarisha usalama wa nchi. Mitanganyika mingi bado mijinga.

Hoja si lugha ya Taifa flani kuzungumzwa sehemu ya Taifa flani ni kuhatarisha usalama. Sisi watanganyika tunatambua wapo wahamiaji harumu wengi walio jipenyeza na kupata hifadhi. Hii ni kutokana na udhaifu wa idara inayohusika na jukumu la kubaini na kusimamia uingiaji na utokaji wa raiya na wageni.

Kunakipindi wasomali walivamia Serengeti wakiwa na makundi ya mifugo waliwasumbua sana wamasai koo za Tz, japo walikaribishwa na kupewa hifadhi na wakaazi wenyewe. Ilibid iundwe task force katika kulikabili tatizo.

Watanganyika tumelala sana. Somo la Uraiya, Usalama na Utambuzi linapaswa kufundishwa toka ngazi ya msingi kwakuwa walinzi wa kwanza wa Taifa lolote ni raiya wake. Haiwezekani Mgeni anaingia nchini, anapewa hifadhifadhi na wenyeji na anaanzakujishughulisha katika shughuli mbalimbali bila chochote kufanyika.

Hatuna Tanganyika nyingine zaidi ya hii tulionayo. Tunawivu nayo na tutailinda kwa nguvu, jasho na damu.
 
Mtanzania anayezungumza kinyarandwa na mnyarandwa anayezungumza kinywarandwa lafuzi zao ni tofauti kabisa labda kuwe na exceptional kwa wachache ambao ni watanzania lakini wamekulia huko.
Hata wakurya wakenya waliopo karibu kabisa na Tarime na qwnye muingiliano mkubwa bado wakiongea kiswahili ni tofauti kabisa kwa hiyo ni rahisi sana kimtambua.
Na Mtu wa Rwanda aliyekuwa Mnyarwanda mpaka mwaka juzi, mwaka huu hawezi kuwa mtanzania either mkazi au raia ?
 
Kuna mmoja humu alitaka watutsi watambulike na serikali ya Tanzania kama makabila mengine yanavyotambulika imagine!

Inaonekana Watutsi ndo wengi kuliko wahutu humu ndani 💀
 
Tunapinga Uhamiaji haramu
Mkija kwenye Taifa letu, muwe na vibali kwanini mpite kwenye njia za panya
Na unajuaje fulani ni Haramu ? Kwa kusikia anaongea au umewaomba vibali wakakataa kuonyesha ? Beware of Persecution sababu hizi zikizidi usishangae ukaanza kuingia kwenye u Xenophobia
 
Na unajuaje fulani ni Haramu ? Kwa kusikia anaongea au umewaomba vibali wakakataa kuonyesha ? Beware of Persecution sababu hizi zikizidi usishangae ukaanza kuingia kwenye u Xenophobia
Hujui uhalisia ulivo
Hawa wahamiaji wapo wengi na vibali hawana
 
Hujui uhalisia ulivo
Hawa wahamiaji wapo wengi na vibali hawana
Najua na hilo lipo wazi ila kuwepo kwao wengi hakufanyi kila mtu wa huko tumuangalie kwa jicho la kwamba ni Haramu, huo sio ustaarabu
 
Najua na hilo lipo wazi ila kuwepo kwao wengi hakufanyi kila mtu wa huko tumuangalie kwa jicho la kwamba ni Haramu, huo sio ustaarabu
Umeambiwa Warwanda wamemiliki ardhi kubwa huko Tabora, ambapo ni kinyume cha katiba Kwa mtu asiye raia kumiliki ardhi Tanzania
Wapo tu kwenye mabaa
CDF alisema wengine wamepenya hadi kwenye nafasi nyeti serikalini
Hali ni mbaya
 
Watusi wanamiliki ardhi ya kutisha hapo Kahama.Kuna kijiji kinaitwa Nuja walijimilikisha nusu ardhi ya kijiji na hakuna wa kuwafanya chochote.Shukrani kwa jeshi la Magereza kulitwaa lile eneo kwa mikong'oto na virungu vya ugoko.
Tabora nako maporini yamejificha majamaa na ng'ombe,ujambazi yamejimilikisha na uchumi na maelfu ya ardhi .Miswahili imekuwa manamba na mitumwa ya hawa pua ndefu kama filimbi.Tuamke.
funguka pia maeneo zaidi mkuu.
ukija ulyankulu barabara ya 13 n.k
 
Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa

Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.

Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.

Wanyarwanda sio wageni waziri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,

kila siku serikali za Congo, Burundi na Uganda zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani

Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa

Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport

Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini

Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Kigoma imekuwa chaka lao!
Sijajua Taifa langu eidha limeamua kuacha uhamiaji holela au mamlaka zimeshindwa kupambana na wimbi la wahamiaji MI

Warundi na Wanyaru ni wengi sana Kigoma, in fact wao ndio cheap Labor huko kigoma
 
Mkui acha ujinga basi, nchi zote duniani zina athirika na uhamiaji harama,sio nchi tajiri wala za uchumi wa kati.
Nchi kama USA,UK,Germany,Denmark,Norway,Sweden na nyingi za Ulaya zipo well off kiuchumi zaidi lakini zinaathurika na uhamiji vipi Tanzania nchi maskini.
Kuwa na wahamiaji wengi katika nchi ina disturb uchumi wa nchi na mbaya zaidi unasababisha matatizo ya kijamii.
Mfano nchi za Ulaya ongezeko la uhalifu linatokana na wahamiaji haramu.
Wahamiaji haramu wanasababisha matatizo gani ya kiuchumi Tanzania??
 
Hoja si lugha ya Taifa flani kuzungumzwa sehemu ya Taifa flani ni kuhatarisha usalama. Sisi watanganyika tunatambua wapo wahamiaji harumu wengi walio jipenyeza na kupata hifadhi. Hii ni kutokana na udhaifu wa idara inayohusika na jukumu la kubaini na kusimamia uingiaji na utokaji wa raiya na wageni.

Kunakipindi wasomali walivamia Serengeti wakiwa na makundi ya mifugo waliwasumbua sana wamasai koo za Tz, japo walikaribishwa na kupewa hifadhi na wakaazi wenyewe. Ilibid iundwe task force katika kulikabili tatizo.

Watanganyika tumelala sana. Somo la Uraiya, Usalama na Utambuzi linapaswa kufundishwa toka ngazi ya msingi kwakuwa walinzi wa kwanza wa Taifa lolote ni raiya wake. Haiwezekani Mgeni anaingia nchini, anapewa hifadhifadhi na wenyeji na anaanzakujishughulisha katika shughuli mbalimbali bila chochote kufanyika.

Hatuna Tanganyika nyingine zaidi ya hii tulionayo. Tunawivu nayo na tutailinda kwa nguvu, jasho na damu.
Watu wanaopetea nchini wanapotezwa na wahamiaji haramu??
 
Back
Top Bottom