Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Umesema kweli ila kwa maneno makali. Hupepesi hata macho munzhehe?
Hii mitanganyika haielewi imekaa kinyonge nyonge inataka ibembelezwe kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema kweli ila kwa maneno makali. Hupepesi hata macho munzhehe?
Na wakongo wamejazana wengi ila sijui kwanini malalamiko ni kwa Rwanda na kenya tu🤔
Watanzania tuna wivu wa kipumbavu sana,mleta mada akiwa miongoni mwa haa wapumbavu ni ujinga na upumbavu kwa taifa kubwa kama taifa kulihofia taifa dogo kama Rwanda.The inferiority complex of the highest order.
Kigoma imekuwa chaka lao!
Sijajua Taifa langu eidha limeamua kuacha uhamiaji holela au mamlaka zimeshindwa kupambana na wimbi la wahamiaji MI
Warundi na Wanyaru ni wengi sana Kigoma, in fact wao ndio cheap Labor huko kigoma
Watanzania tuna wivu wa kipumbavu sana,mleta mada akiwa miongoni mwa haa wapumbavu ni ujinga na upumbavu kwa taifa kubwa kama taifa kulihofia taifa dogo kama Rwanda.
Hakuna watu waoga hii East Africa kama Watanzania.
Mkui acha ujinga basi, nchi zote duniani zina athirika na uhamiaji harama,sio nchi tajiri wala za uchumi wa kati.
Nchi kama USA,UK,Germany,Denmark,Norway,Sweden na nyingi za Ulaya zipo well off kiuchumi zaidi lakini zinaathurika na uhamiji vipi Tanzania nchi maskini.
Kuwa na wahamiaji wengi katika nchi ina disturb uchumi wa nchi na mbaya zaidi unasababisha matatizo ya kijamii.
Mfano nchi za Ulaya ongezeko la uhalifu linatokana na wahamiaji haramu.
Ushachelewa mpaka aje rais mwenye akili hio ila kwa kupitia Mapinduzi ya Chama hakuna rais atakaefanya hivyoNadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Topic zote zilizopo humu zinapinga uhamiaji Haram na sio ushindani wa ajira na ni ajira ipi hapa bongo mrwanda anaweza shindana na mtanganyika akashinda?
Kuhusu DP Haina uhusiano wowote na wahamiaji Haram wanyarwanda Ina uhusiano na kagame na kwakuwa najiamini ninaweza kumkubali kagame lakini nakapinga vikali wahamiaji Haram bila kujali ni mrwanda au mrundi sema inferiority complex ndo inakufanya uone sisi kukipinga uhamiaji Haram kama tunawaonea
Jussa kasha wahi sema "Watanganyika hawaijui historia"Hujajibu swali langu, Nimekuuliza hayo makabila ni raia wa nchi zipi kwa sababu hata historia huelewi unaposema Watusi "waliruhusiwa" kuingia Congo usijue kwamba kuna Watusi wamekuwepo Congo ya leo tangu karne 18 wakati ambapo hata hilo taifa la Congo lililotengenezwa na Wakoloni Wabelgiji halikuwepo.
Hii haina tofauti na Watanzania ambao ni manamba kwenye viwanda vya wahindi na waarabuWatusi wanamiliki ardhi ya kutisha hapo Kahama.Kuna kijiji kinaitwa Nuja walijimilikisha nusu ardhi ya kijiji na hakuna wa kuwafanya chochote.Shukrani kwa jeshi la Magereza kulitwaa lile eneo kwa mikong'oto na virungu vya ugoko.
Tabora nako maporini yamejificha majamaa na ng'ombe,ujambazi yamejimilikisha na uchumi na maelfu ya ardhi .Miswahili imekuwa manamba na mitumwa ya hawa pua ndefu kama filimbi.Tuamke.
SawaNa wewe usiwe mtu wa kusubiri uletewe uthibitisho kama mlemavu wa ubongo.
Jiongeze kujua yaliyomo yamo tupo global village kila kitu ni available muda wote, ukitaka ukae tu uletewe utalatewa uzushi kama wa CCM kuvunja katiba
Afrika ni nchi moja. Hata hivyo, tuna waafrika wabaya kama vile Wanigeria na matapeli wengine wnaaaotaka riziki bila kufanya kazi halali. Ukienda Mara wamejaa Wajaluo, wakisii na wengine toka Kenya. Ukienda Kigoma ndo usiseme. Wamejaa wakongomani wengi tu wanaojiita wamanyema ambao nao wakiwa Kigoma wanajiita wazaramo. Kimsingi, Tanzania hakuna utaratibu wa maana wa uraia zaidi ya kuwa na roho mbaya kwa watanzania wanaotwaa uraia wa kigeni hasa kwenye nchi za ulaya. Kuna wanyasa wengi toka Malawi wanaofanya kazi Masaki na kwingineko kwa wenye nazo. Mie, naona tuunganishe Afrika Mashariki na kuwa na nchi moja ili kuondoa ujinga huu.Zamani ilikuwa ni kawaida Kwa sisi watu wa wa mkoa wa Kagera kuishi na Wanyarwanda na wamesoma hapa Tanzania na Sasa wana kazi kubwa serikalini na likizo Huwa wanaenda kwao Rwanda kusherehekea na ndugu zao huku, na likizo zikiisha hurejea Tanzania katika ajira za serikali kabisa
Wanyarwanda wameingia kinyemera Kwa kuhonga kupata kitambulisho cha mpiga kura,
Wengine wamesoma hadi vyuo vikuu na mikopo wa elimu ya juu wamepata, yàani raia wa kigeni anasomeshwa na Kodi zetu na vijana wetu wanakosa mkopo.
Vyombo vya usalama kwanini hamfanyi operation za mara Kwa mara kubaini wahamiaji haramu.
Wanyarwanda sio wageni wazuri kuingia kwenye Taifa letu bila taratibu na vibali au kujulikana,
kila siku serikali za Congo, Burundi Uganda na Msumbiji zinawalalamikia sana kusababisha maafa, mauaji na kipenyeza vikundi vya waasi wanaokesesha raia amani
Nilishituka Kuna kipindi Niko zangu Tandahimba huko Niko bar napata safari lager, nikasikia mabinti wahudumu wanazungumza Kinyarwanda, wao walidhani sijui kumbe me natokea Ngara ni jirani Yao.
Hii ilinishtua yaani mtu kavuka Rwanda mpaka na kutembea zaidi ya km 2000 na hajakamatwa
Hii ni hatari Kwa usalama wa Taifa letu, watu kuingia nchini bila kutambuliwa na vibali maalumu au passport
Wanyarwanda wamejaa hapa nchini, hadi wanapenya na kupata nafasai nyeti serikalini
Nadhani serikali na Jeshi la Uhamiaji waingie kazini, kama kipindi cha Kikwete wengi waliogopa na kurudi kwao
Kabisa mkuu sasa sijui ni chuki au uelewa hawa wanyarwanda washakuwa wakimbizi sasa kuwepo mpaka leo kuna ajabu gani, kuna watanzania kibao Kenya wa halali na wasio halali.Wabongo wengi hawawapendi sana raia wageni wa Kenya na Rwanda, nafikiri kuna hali fulani ya wivu mbaya dhidi ya hizi nchi. Kila wakati utakapozungumziwa uhamiaji haramu reference kubwa zaidi ni Wanyarwanda na Wakenya.
🤣🤣🤣🤣Umesema kweli ila kwa maneno makali. Hupepesi hata macho munzhehe?
Mkuu kila anaekuja tofauti na mtazamo wako ni mhamiaji haramu 🙄Tunapinga Uhamiaji haramu
Mkija kwenye Taifa letu, muwe na vibali kwanini mpite kwenye njia za panya