DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

DOKEZO Raia wa Rwanda wanapenyaje hadi kujazana nchini?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wabongo wapo hadi omba omba Nairobi. Malawi, Zambia, Uganda kote huko wabongo wamejaza. USA, Canada, UK kote wabongo wapo.

Mipakani watu kuingiliana ni kawaida. Wamasai, wakurya, wajita, waha, wanyakyusa, wamakonde nk wapo TZ na nchi wanazopakana nazo. Sijui nini Cha ajabu hapo.

Huyo CDF wenu aliropoka hadi Leo kashindwa toa proof hata moja.

Mitanganyika kinachowasumbua ni ushamba na inferiority complex. Mkisikia Rwanda, kanchi kadogo kama ghetto na Kenya mnaloa hapo hapo. Ujamaa uliwapa unyonge wa maisha mmekua kama maboya.
Ulitaka proof uletewe wewe??
 
Wabongo wapo hadi omba omba Nairobi. Malawi, Zambia, Uganda kote huko wabongo wamejaza. USA, Canada, UK kote wabongo wapo.

Mipakani watu kuingiliana ni kawaida. Wamasai, wakurya, wajita, waha, wanyakyusa, wamakonde nk wapo TZ na nchi wanazopakana nazo. Sijui nini Cha ajabu hapo.

Huyo CDF wenu aliropoka hadi Leo kashindwa toa proof hata moja.

Mitanganyika kinachowasumbua ni ushamba na inferiority complex. Mkisikia Rwanda, kanchi kadogo kama ghetto na Kenya mnaloa hapo hapo. Ujamaa uliwapa unyonge wa maisha mmekua kama maboya.
Nyie wananyarwanda ndio mnainferiority complex yaani watu kuupinga uhamiaji Haram unaita unyonge uhamiaji Haram unapigwa Hadi na wamarekani wakiongozwa na billionaire Trump na sisi kazi yetu ni kuisanua serikali zidi yenu wanaharam
 
Nyie wananyarwanda ndio mnainferiority complex yaani watu kuupinga uhamiaji Haram unaita unyonge uhamiaji Haram unapigwa Hadi na wamarekani wakiongozwa na billionaire Trump na sisi kazi yetu ni kuisanua serikali zidi yenu wanaharam

Hamjui tofauti ya uhamiaji haram na halali nyie wamatumbi. Mleta uzi kasikia watu wanaongea kinyarwanda kakimbilia kusema ni spies. Mwingine kasema muuza bar ni spy. Huu ni uzwazwa wa hali ya juu.

Kama CDF mwenyewe aliropoka sishangai nyie mkiropoka as well story za vijiweni.
 
Hamjui tofauti ya uhamiaji haram na halali nyie wamatumbi. Mleta uzi kasikia watu wanaongea kinyarwanda kakimbilia kusema ni spies. Mwingine kasema muuza bar ni spy. Huu ni uzwazwa wa hali ya juu.

Kama CDF mwenyewe aliropoka sishangai nyie mkiropoka as well story za vijiweni.
Sisi kazi yetu ni kuzikumbusha mamlaka kufanya kazi Yao na popote penye viashiria vya jinai na uhamiaji Haram lazima tuzikumbushe mamlaka na lazima tulinde nchi yetu Kwa wivu mkubwa sana hayo ya CDF yawezekana yalishafanyiwa kazi zamani sana
 
Kwanini na nyie msiwatumie diaspora wenu? Mbona huko nje hawaitwi spies? Unajua kuna wabongo wangapi nchi jirani hadi huko Ulaya na America? Nini cha ajabu hapo?
Hata wakiwa wengi kiasi gani kama hawapo kihalali watafukuzwa na mamlaka au kufungiwa hata sisi kama huko kihalali lazima tupige kelele Hilo lakutaka tukae kimya kisa Kuna wabongo wengine wapo nchi nyingine ndo inferiority complex yenyewe
 
Hamjui tofauti ya uhamiaji haram na halali nyie wamatumbi. Mleta uzi kasikia watu wanaongea kinyarwanda kakimbilia kusema ni spies. Mwingine kasema muuza bar ni spy. Huu ni uzwazwa wa hali ya juu.

Kama CDF mwenyewe aliropoka sishangai nyie mkiropoka as well story za vijiweni.
Unajitetea sana ili ionekane kuwa ni jambo la kawaida ninyi kuwa hapa nchni, na wakati huohuo si kawaida sisi kuwa nchini mwenu, tunaweza kuwepo nchini mwenu lakini ni kwa tahadhari na taratibu kibao... Ninyi mnaingia tu nchini mwetu...

Sasa kwanini muingie kinyemela kama hamjaja kwa ubaya?, kwanini mjilinde kwa kuwa na vitambulisho vya kugushi vya uraia na kadi za vyama kama hamjaja kwa ubaya?
Kwanini muishi kimagendo kwa kuficha uraia wenu kama hamjaja kwa ubaya?
 
Hamjui tofauti ya uhamiaji haram na halali nyie wamatumbi. Mleta uzi kasikia watu wanaongea kinyarwanda kakimbilia kusema ni spies. Mwingine kasema muuza bar ni spy. Huu ni uzwazwa wa hali ya juu.

Kama CDF mwenyewe aliropoka sishangai nyie mkiropoka as well story za vijiweni.
Unajionesha wazi huna akili timamu
We utaishia Rwanda na kitambulisho cha mpiga kura au bila taratibu
 
Back
Top Bottom