Tatizo la vyama vinavyoshindwa vinapenda kubadili magoli kila mara.. Wanaomba hivi, wakiona weshindwa wanageukaTume imedai imeshtushwa na tuhuma zinazotolewa hivi sasa kwa sababu vyama vyote viliwakilishwa na vikakubaliana hivyo.
Hivyo inakubidi uwaambie kina Mbowe hata kama watam support Uhuru yatawakuta ya Odinga pamoja ba urafiki na Sir Magu hakuna cha msaada. Nilijiuliza sana kwanini Lowasa kapoteza muda wake kwenda kushiriki kukandamiza demokrasia nchi nyingine?Pamoja na kwamba huwa tunatofautina mambo mengi, kwa hili nakuunga mkono kwa 100%. Sipunguzi wala kuongeza neno bali napigia majibu mstari.
Kila siku ninaongea/ninaandika kama binadamu aliyekamilika mwenye fikra zinazoangaza katika mlengo wa 3D Thinking.leo umeongea kama binadamu aliyekamilika with all 5 senses of organ
True, most of thirdworld country election is to halalisha tu waliopo madarakani. Heri kuwa dog in true democratic countries, than human in countries which is primitive in election democras. BONGO BADLACK.That's why I will not vote again in any upcoming elections...... Wa Africa democracy haituhusu....
Hawana Mamlaka ya kudukua Kanzi Data ya IEBC! Kwa kifupi ni kwamba Jubilee na NASA wote wamedukua Kanzi Data ya IEBC ila Nasa wamewakuta JP, wakawaacha. Ilipofika asubuhi NASA wakakimbilia kwa Wananchi ooh JP, ooh Jubilee! Upuuzi mtupu
That's why I will not vote again in any upcoming elections...... Wa Africa democracy haituhusu....
Africa bado tunatumia tumbo kwa kila kitu tukiweza kufikia uwezo wa kutumia vichwa ndio tutaanza kufanya mambo sahihi. Kwa sasa acha tumbo lifanye kazi.
Yaani likitokea la kutokea hiyo tume ndio wawe watuhumiwa namba mojaHyo tume ya uchaguzi itawajibika kwa vurugu na mauaji yatakayotokea huko Kenya. Imekuwaje watangaze matokeo bila ya kuziona hizo fomu tajwa? Shame on them
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa IT wa Odinga wamegundua kuwa marehemu ame log in!inaonekana kuna watu wameingia kwa akaunti ya marehemu wakafanya figisuSiku alipouwawa yule mkuu wa kitengo cha teknologia ya habari na mawasiliano kwenye tume ya Uchaguzi, Chris Msando ndio siku ambayo uchaguzi Mkuu ulihitimisha mwanzo wa vurugu za Uchaguzi Mkuu.
Tatizo nini Mkuu? Punguza jazba na chukiKatika watu wanaonifanya niione fani ya sheria ni ya wababaishaji ni huyu Petro E. Mselewa lakini ninapowafikiria Tundu Lissu, Kibatala na Fatma Karume then naacha kuilaumu sheria kama fani badala yake nalaumu kila mwanasheria kivyake.
Naomba niende kinyume na wewe tume huru ni dhana, ila uhalisia wake haupo katika maana/dhana/definition ila upo katika utendaji kazi wake kwa maana uhuru/kutoingiliwa, uwazi, effeciecy ya kumudu majukumu ya kichaguzi, usawa/fairness na mwisho kabisa uundwaji wake/upatikanaji wake na udhibiti wake kwa maana ya vyombo kama mahakama huru au kamati zibiti za ambazo zitakuwa shirikishi za wanufaika wa chaguzi. Tume ikitimiziwa haya inaweza kuwa huru.Niliwahi kuanzisha uzi kuhusu 'u-huru' wa tume huru ya uchaguzi ambayo wapinzani wamekuwa wakiililia.
Nadhani sasa labda ambao hawakunielewa wataweza kunielewa.
Kuna dhana potofu kwamba uwepo wa tume 'huru' basi ndo utakuwa mwarobaini wa matatizo wayapatayo wapinzani.
Kama tunavyoona huko Kenya, uwepo wa tume 'huru' si mwisho wa figisu.
Ni dhahiri kabisa kuwa Odinga kafanyiwa figisu na ambaye hakuliona hilo kuwa litatokea atakuwa mbumbumbu wa mwisho kabisa.
Na ndo maana nikasema [kwenye ule uzi wa updates za matokeo ya uchaguzi wa Kenya] kuwa ningeshangaa sana endapo Uhuru Kenyata angeshindwa!
Anayedhani kuwa hiyo IEBC ni huru namwonea huruma😀
Kujazwa kwa Fomu nilizozitaja,ni sharti la kisheria. Lazima kuzijaza na kuziwasilisha. Inataarifiwa kuwa Tume ya Uchaguzi ilitangaza matokeo bila Fomu 34A na 34B. Kwasasa,Tume inakusanya Fomu wakati matokeo yameshatangazwa na kubishiwa.
Hivyo,Odinga ana hoja ya kisheria kuyabishia matokeo hayo. Je,atayapinga matokeo ya Urais kisheria au kisiasa? Matokeo yaliyotangazwa bila fomu husika yanabakije kama halali? Raila Odinga ataamua muda ukifika.Kwa mujibu wa Katiba ya Kenya,Tume ya Uchaguzi ina siku 7 kumtangaza mshindi wa Urais.
Hizi ndizo tume zetu ''huru'' za Uchaguzi!
Tume ''huru'' ya Uchaguzi inatangaza matokeo ya Uchaguzi ''huru'' halafu baadaye inatuambia hayo sio matokeo rasmi ya Uchaguzi!
Kwa kifupi, kwenye siasa za nchi ''zinazoendelea'' ni vigumu sana kumshinda Rais ambaye anatetea kiti chake cha Urais. Huu ndio ukweli pamoja na kwamba ni vigumu kuukubali.
Siku alipouwawa yule mkuu wa kitengo cha teknologia ya habari na mawasiliano kwenye tume ya Uchaguzi, Chris Msando ndio siku ambayo uchaguzi Mkuu ulihitimisha mwanzo wa vurugu za Uchaguzi Mkuu.
So you mean wao ndo walimyonğelea mbali? Kisa madaraka ya kulevya? La Mungu atusaidie sanaHizi ndizo tume zetu ''huru'' za Uchaguzi!
Tume ''huru'' ya Uchaguzi inatangaza matokeo ya Uchaguzi ''huru'' halafu baadaye inatuambia hayo sio matokeo rasmi ya Uchaguzi!
Kwa kifupi, kwenye siasa za nchi ''zinazoendelea'' ni vigumu sana kumshinda Rais ambaye anatetea kiti chake cha Urais. Huu ndio ukweli pamoja na kwamba ni vigumu kuukubali.
Siku alipouwawa yule mkuu wa kitengo cha teknologia ya habari na mawasiliano kwenye tume ya Uchaguzi, Chris Msando ndio siku ambayo uchaguzi Mkuu ulihitimisha mwanzo wa vurugu za Uchaguzi Mkuu.
mheshimiwa mkubwa wakat mwingine uwe unafatilia habari kabla ya kuleta uzi...... walichofanya tume ni matakwa ya kisheria baada ya NASA kwenda mahakamani.......Mgombea wa Urais wa Kenya kupitia NASA,Raila Odinga amejitokeza na kupinga matokeo ya awali ya Urais ya Kenya yanayotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya yakimweka mbele Rais Uhuru Kenyatta.
Hoja ya Odinga ni kukosekana kwa Fomu 34A na 34B zinazopaswa kujazwa na kusainiwa,ikiwa ni pamoja na mawakala, kisheria kabla ya kutangazwa matokeo. Fomu 34A hujazwa na kusainiwa katika Kituo cha Kupigia kura. Kimsingi,Fomu 34A hubeba taarifa za kura za kituo kimoja.
Fomu 34A huwasilishwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo. Taarifa zote za vituo vya Jimbo husika hujazwa kwenye Fomu 34B. Hatimaye,Fomu 34B huwasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi kwa ajili ya kutangazwa matokeo rasmi.
Kujazwa kwa Fomu nilizozitaja,ni sharti la kisheria. Lazima kuzijaza na kuziwasilisha. Inataarifiwa kuwa Tume ya Uchaguzi ilitangaza matokeo bila Fomu 34A na 34B. Kwasasa,Tume inakusanya Fomu wakati matokeo yameshatangazwa na kubishiwa.
Hivyo,Odinga ana hoja ya kisheria kuyabishia matokeo hayo. Je,atayapinga matokeo ya Urais kisheria au kisiasa? Matokeo yaliyotangazwa bila fomu husika yanabakije kama halali? Raila Odinga ataamua muda ukifika.Kwa mujibu wa Katiba ya Kenya,Tume ya Uchaguzi ina siku 7 kumtangaza mshindi wa Urais.
Kama ndivyo, kwanini sasa Tume inatangaza tena matokeo kwa kutumia hizo Fomu?mheshimiwa mkubwa wakat mwingine uwe unafatilia habari kabla ya kuleta uzi...... walichofanya tume ni matakwa ya kisheria baada ya NASA kwenda mahakamani.......
awali sheria ya tume ni kutangaza matokeo sambamba na hizo forms, lkn NASA wakaenda mahakamani kupinga wakidai huenda matokeo yakachakachuliwa in btn...... hivyo wakaiomba mahakama iamure tume itangaze matokeo ya moja kwa moja toka mtandaoni kabla ya forms.......
na kwa kulijua hilo tume waliendelea kutangaza matokeo hata baada ya malalamiko ya NASA, na ndio maana NASA hawajaenda mahakamani kuzuia IEBC isitangaze matokeo mpk hizo forms kw vile wangekua wanapingana na ombi lao la awali.......
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona nimeeleza hapo kwenye hio post, ni kwamba baada ya matokeo yote kujumlishwa ndipo hizo forms zitatumika kuhakiki hayo yaliyotangazwa......Kama ndivyo, kwanini sasa Tume inatangaza tena matokeo kwa kutumia hizo Fomu?
tume haitangazi tena ila inajumlisha manually kwa kutumia forms.......... kutangaza walishatangaza...... baada ya hapo ndio mshind atatangazwaKama ndivyo, kwanini sasa Tume inatangaza tena matokeo kwa kutumia hizo Fomu?