Raila Odinga anaamini Rais Magufuli hashauriwi vizuri

Nimeangalia marais wote wa tz kasoro rais Julius Nyerere nimegundua hata Mimi naweza kuongoza hii nchi Kama nitakavyoamua mimi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameshatengeneza kisasi na hao watu.

Wangekuwa ni viongozi wa Chadema wangeshapewa kesi za utakatishaji pesa

kush na Wisdom
 
Yeye anawamini waganga wa kienyeji kuliko wataalamu wa afya. Shida tupu. kwa kweli tulipigwa na jua bure 25/10/2015
 
Jamani mbona mzee yupo kimya? Tunaomba Mbowe utoe hotuba imkurupue mzee mafichoni na aje na mipasho ya mafenesi na mapapai.
 
Dunia nzima inatushangaa kwa sasa. Kutoka kujimwambafai hadi kujidhalilisha, mweee!
 
sasa hao wote wanataka kumshauri nin Rais wetu wakati kwao kwenyewe hali tete?
 
Hatuwezi kujua, labda mtu yuko kwenye ventilator, bado wanataka apokee simu!
 
Kwani ulisikia kuwa mlima ndo umemfuata Mtume au mtume ndo aliufuata mlima?? Mwenye shida naye aje sio kumpigia sim
Ndugu kati ya hao wawil ni MaRaisi hawawezi kujifungia safari bila appointment na kuja, jee mwenyeji wao akikataa kuwapokea si wataaibika, na huyu Rafikiye hawezi kujijia kwa Raisi wa Nchi bila mipango na kupewa ruhusa na security ya Raisi.

Kutokupokea simu za wakuu wa nchi marafiki, ni madharau makubwa, na nina mashaka kama habari hizi zina ukweli , museveni na Ramaphosa mbona walisema walizungumza naye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We fala nani kakwambia nimempa sifa? Acha upumbavu wako tumia akili. Narudia Kenya pumbavu zenu kwa kutuingilia ya kwetu, pumbavu kwa watanzania wote wanaounga mkono wakenya kufanya hivyo, vichwa maji withou own nation pride, screwed up in the head.
Itafute hekima. Siku ilutakapoweza kuipata japo kidogo, utatafuta namna bora ya kuwasilisha hoja yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli anashangaza sana hata simu za Mkapa na Kikwete Hapokei.
Je wewe ndiyo kikwete na mkapa?? Mabeberu wanatafuta c/o ili kumfikia Magufuli!!! Wenyewe kumkabili moja kwa moja wanagwaya!!!!
Nimeshaelewa kwa nini aliondoka Dodoma!! Ni kuondokana na usumbufu wa mawakala wa mabeberu kutaka kutuingiza chaka!!! Chaka hatuingii ng'o!!!!
 
Kenya waliingia chaka LA lock down kichwa kichwa! Kwanza hawakufanya real lockdown! Walifanya very partial lockdown na bado imewaathiri sana!! Wananchi wao wamegoma!!! Wameona ni upuuzi kutumia dawa yenye maumivu zaidi ya ugonjwa wenyewe!! Sasa wanafanya kila wawezalo kutuingiza na sisi kwenye chaka hilo!!
 
Let them mind their own business! Hugo Rais wa Afrika kusini alitumia wanajeshi kudhinikiza lockdown!! Bado imemshinda na ameamua kuachana nayo!! Hana cha kutuambia! Kwanza nchini mwake maambukizi mapya kila siku yako juu na vifo vipya viko kila siku!! Mind you mabeberu wanaweza kumtumia yeyote!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…