Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Kinana Magufuri sio malaika ,haishi mbinguni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana Magufuri sio malaika ,haishi mbinguni.
Nyie endeleeni tu kumsifia wenzake huko SADCC wanafanya maamuzi muhimu kwa nchi za ukanda wa SADCC yeye hayupo na mwakilishi wa Tanzania hatuna ,subiri impact yake ndio utaendelea kumshangilia.Kwani ulisikia kuwa mlima ndo umemfuata Mtume au mtume ndo aliufuata mlima?? Mwenye shida naye aje sio kumpigia sim
Rais Magufuri amekwepa kupokes simu za rais wa Afrika Kusini Ceril Ramaphosa,Yoweli Kaguta Museveni,na ya Swaiba Wake mkuu Raila Odinga,ambaye wiki iliyopita akihojiwa na BBC alisema madai ya Magufuri kuwa mashine za kupimia Corona ni mbovu ,sio kweli anaamini rais Magufuri hashauriwi vizuri ,kimbembe toka siku hiyo kila akimpigia simu haipokelewi ,vilevile Ramaphosa na Museveni kulikoni?View attachment 1447186
Undugu kufaana kama wameona undugu wetu uvunjike mbona sawa tu??Nyie endeleeni tu kumsifia wenzake huko SADCC wanafanya maamuzi muhimu kwa nchi za ukanda wa SADCC yeye hayupo na mwakilishi wa Tanzania hatuna ,subiri impact yake ndio utaendelea kumshangilia.
Na wewe una akili ya kuvuka barabara tuKwani ulisikia kuwa mlima ndo umemfuata Mtume au mtume ndo aliufuata mlima?? Mwenye shida naye aje sio kumpigia sim
Hivi ni mbwembwe au ujinga kumuita Magufu'ri' badala ya jina lake Magufuli kama lilivyoandikwa kwenye link yako? Kisha Kenya waache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu, kwani siye huwa tunaingilia wanavyouana kwa ajili ya Raila aongoze na kula vyote?Rais Magufuri amekwepa kupokes simu za rais wa Afrika Kusini Ceril Ramaphosa,Yoweli Kaguta Museveni,na ya Swaiba Wake mkuu Raila Odinga,ambaye wiki iliyopita akihojiwa na BBC alisema madai ya Magufuri kuwa mashine za kupimia Corona ni mbovu ,sio kweli anaamini rais Magufuri hashauriwi vizuri ,kimbembe toka siku hiyo kila akimpigia simu haipokelewi ,vilevile Ramaphosa na Museveni kulikoni?View attachment 1447186
Unajuaje? Kama we ni mwanamke ni sawa kutangaza umbeya.Magufuli anashangaza sana hata simu za Mkapa na Kikwete Hapokei.
Paid holidays end May 12, Russia starts gradually easing coronavirus quarantine measures – Putin
===
Wenye akili zao wamegundua lockdown is not working!
Nyie vibwengu wa praise team mmemharibu sn Rais Magufuli mpaka amekua addicted na sifa zenu za kipuuz ili kulinda vyeo na mitumbo yenu.
Nyie vibwengu wa lumumba mmetuharibia sn rais wetu kwa kumpa sifa asizostahili za kipuzi ili kuneemesha mitumbo yenu.Angalia ss amekua kituko mbele ya maraisi wenzake.Hivi ni mbwembwe au ujinga kumuita Magufu'ri' badala ya jina lake Magufuli kama lilivyoandikwa kwenye link yako? Kisha Kenya waache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu, kwani siye huwa tunaingilia wanavyouana kwa ajili ya Raila aongoze na kula vyote? Pumbavu zao, wafunge mipaka tuone kama Korona kwao itaisha na siye tujipange kivyetu kupambana nayo baada ya kujifunza kwa makosa.
Wewe mwenye za kufika mwezini mbona hujagundua dawa ya korona?? Wote tupo zero IQ Kwetu wanamalizia kwa mithali; Manyani yanachekana ngoko.Na wewe una akili ya kuvuka barabara tu
We fala nani kakwambia nimempa sifa? Acha upumbavu wako tumia akili. Narudia Kenya pumbavu zenu kwa kutuingilia ya kwetu, pumbavu kwa watanzania wote wanaounga mkono wakenya kufanya hivyo, vichwa maji withou own nation pride, screwed up in the head.Nyie vibwengu wa lumumba mmetuharibia sn rais wetu kwa kumpa sifa asizostahili za kipuzi ili kuneemesha mitumbo yenu.Angalia ss amekua kituko mbele ya maraisi wenzake.
Baba chafijika tochaWewe mwenye za kufika mwezini mbona hujagundua dawa ya korona?? Wote tupo zero IQ Kwetu wanamalizia kwa mithali; Manyani yanachekana ngoko.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848]kama hii ni kweli kuna shida kubwa mahaliMagufuli anashangaza sana hata simu za Mkapa na Kikwete Hapokei.
Usiogope huko nako ni home town tu lakini kote TZ wala sio ugenini. Kwetu kuna kamnyama kanaitwaga Fungo. Hakanyi kila mahali bali hunya fungu moja tu. Huenda naye alimlaga nyama yake akapatwa na kirusi cha fungovic kinacho mtaka mtu anye fungu moja tu. Bado anaongoza na kutawala hata akiwa hukoBaba chafijika tocha
Mano likwe likwe