Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
Hata jina lako tu linadhahirisha wewe ni mjinga mtumwa wa akili.Kenya mtaipata wapi shughulikieni shilingi yenu kwanza inashuka kila siku, elfu 7000/= zako kwa mwezi unazopata kuipigania nchi yako halafu zinakufanya uwe mtumwa ndani yako utaendelea kuvumilia mpaka lini? hatujiskii raha kuongea kiswahili vizuri bila ya hela mfukoni., endelea kujifukiza au kunywa miti shamba itakugarimu maisha yako.