Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mzee yuko chimbo.
Full quarantine.
Full quarantine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie chadema kweli wajinga kenya akupe sukari?
Mkuu nimeamini wewe sio mzima. Hiyo clip ya Raila Odinga huioni? Melo fukuza huyu mwehu JF.Chadema uzushi wenu mwisho October
BBC chini ya SABCAsante kwa kutuhabarisha ila pia inapendeza zaidi ukitaja chanzo cha habari yako.
aim for the stars
Mkuu, kumbe hilo jinga jinga ndiyo Polepole? Jamaa kilaza sana hilo.Kama kuna mwaka ambao CCM imeyakanyaga mno tu Kukuchagua Katibu wake Wewe wa Itikadi na Uenezi basi ni Awamu hii.
HahahaAtaongea lugha gani? Lkn Mbowe alimshauri asiogope wenzake ikiwezekana asione aibu kuwaambia kua atatumia kisukuma na atakua na mkalimani................
Vipi huko kwake Kenya ushauri wake mzuri umesaidiaje, hakuna maambukizi au?"Nimejaribu kumpata kwa simu hata nimemuachia ujumbe lakini bado sijafaulu kuwasiliana naye'
Aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya, Raila Odinga ambaye ni rafiki wa rais John Pombe Magufuli anasema kuwa kiongozi huyo wa Tanzania anapewa ushauri usiosahihi kuhusiana na jinsi ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Odinga anasema viongozi wa kanda wanastahili kushauriana kwani ugonjwa huu hauheshimu mipaka na Afrika mashariki inapaswa kulishughulikia kwa pamoja.
Source: BBC..
.SABC
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda mtandao wa ttcl sehemu aliko unasumbuaDingi kauza simu?
Mkuu, kumbe hilo jinga jinga ndiyo Polepole? Jamaa kilaza sana hilo.