Kenya 2022 Raila Odinga anatapatapa: Ameibuka na hoja tofauti, sasa anadai Ruto hakufikisha kura 50% + 1

Kenya 2022 Raila Odinga anatapatapa: Ameibuka na hoja tofauti, sasa anadai Ruto hakufikisha kura 50% + 1

Kenya 2022 General Election

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477

Ruto did not attain 50+1 threshold, Azimio says in court papers!​

Matokeo ni haya hapa:

Last updated: 15/08/2022, 18:59:28 local time (GMT+3)
Final results from IEBC
CandidatesVote
William Ruto

William Ruto


50%
50.5%
7,176,141
Raila Odinga

Raila Odinga
48.8%
6,942,930
roots.png
agano.png

Other Candidates
0.6%
93,956
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027.
Asilimia ya Ruto: 7,176,141/14,213,027 x 100 = 50.4899%
Asilimia ya Raila: 6,942,930/14,213,027 x 100 = 48.8491%
Asilimia ya George: 61,969/14,213,027 x 100 = 0.4360%
Asilimia ya David: 31,987/14,213,027 x 100 = 0.2251%
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027. = 100.0001%

Raila anakiri kuwa Ruto amepata kura 7,176,141 lakini HATAKI kukubali kuwa kura za Ruto ni sawa na asilimia 50.49% kama ilivyotangazwa na tume huru ya uchaguzi wa kenya. Raila anadai kuwa Ruto hajafikisha kigezo cha 50% + 1. Huko ndiko kutapatapa kwani mahesabu yanaonesha kuwa Ruto amepata 50% + 69,629.

BILA SHAKA Raila anandoto za kutaka kuishawishi mahakama ya juu kabisa ya kenya ili IBADILI KATIBA YA KENYA KUHUSU KIGEZO CHA KUWA RAIS WA KENYA KUPITIA KURA. Iko hivi: Kwa sasa mtu anahesabika kuwa ameshinda kama atapata kura 50% + 1 ya KURA HALALI ZILIZOPIGWA (VALID VOTES). Kwa tafsiri ya sasa, kura halali ni zile zinazoonesha KWA WAZI mpiga kura alikuwa anampigia mgombea yupi, kwa hiyo kura yake kuhesabiwa. Raila anataka kubadili TAFSIRI YA KURA HALALI kuwa ni kura zote zilizopigwa hata kama zimeharibika na hazikuhesabiwa kwa mgombea yoyote!! Ukifanya hivyo itapunguza asilimia ya kila mgombea na Ruto hatafikisha hiyo 50%+1. Huko ndiko kutapatapa maana Raila anataka mahakama ikubali kitu ambacho hakikubaliki duniani kote!! Kwa mfano mpiga kura kutokumpigia mgombea yoyote na akatumbukiza kura yake bila chaguo lolote, au anawachagua wagomea wote, hiyo nayo kwa Raila ni kura halali!!
 
Huyo mzee aache zake, yaani hana nia njema na taifa lake, anataka uchaguzi urudiwe, nchi itumie hela nyingine nyingi kwenye uchaguzi badala ya kuwekeza kwenye mambo ya msingi ambayo yanaumiza wananchi. Huyo babu ni muhujumu uchumi
 

Ruto did not attain 50+1 threshold, Azimio says in court papers!​

Matokeo ni haya hapa:

Last updated: 15/08/2022, 18:59:28 local time (GMT+3)
Final results from IEBC
CandidatesVote
William Ruto

William Ruto


50%
50.5%
7,176,141
Raila Odinga

Raila Odinga
48.8%
6,942,930
roots.png
agano.png

Other Candidates
0.6%
93,956
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027.
Asilimia ya Ruto: 7,176,141/14,213,027 x 100 = 50.4899%
Asilimia ya Raila: 6,942,930/14,213,027 x 100 = 48.8491%
Asilimia ya George: 61,969/14,213,027 x 100 = 0.4360%
Asilimia ya David: 31,987/14,213,027 x 100 = 0.2251%
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027. = 100.0001%

Raila anakiri kuwa Ruto amepata kura 7,176,141 lakini HATAKI kukubali kuwa kura za Ruto ni sawa na asilimia 50.49% kama ilivyotangazwa na tume huru ya uchaguzi wa kenya. Raila anadai kuwa Ruto hajafikisha kigezo cha 50% + 1. Huko ndiko kutapatapa kwani mahesabu yanaonesha kuwa Ruto amepata 50% + 69,629.

BILA SHAKA Raila anandoto za kutaka kuishawishi mahakama ya juu kabisa ya kenya ili IBADILI KATIBA YA KENYA KUHUSU KIGEZO CHA KUWA RAIS WA KENYA KUPITIA KURA. Iko hivi: Kwa sasa mtu anahesabika kuwa ameshinda kama atapata kura 50% + 1 ya KURA HALALI ZILIZOPIGWA (VALID VOTES). Kwa tafsiri ya sasa, kura halali ni zile zinazoonesha KWA WAZI mpiga kura alikuwa anampigia mgombea yupi, kwa hiyo kura yake kuhesabiwa. Raila anataka kubadili TAFSIRI YA KURA HALALI kuwa ni kura zote zilizopigwa hata kama zimeharibika na hazikuhesabiwa kwa mgombea yoyote!! Ukifanya hivyo itapunguza asilimia ya kila mgombea na Ruto hatafikisha hiyo 50%+1. Huko ndiko kutapatapa maana Raila anataka mahakama ikubali kitu ambacho hakikubaliki duniani kote!! Kwa mfano mpiga kura kutokumpigia mgombea yoyote na akatumbukiza kura yake bila chaguo lolote, au anawachagua wagomea wote, hiyo nayo kwa Raila ni kura halali!!
Hahaha..
Nia ya Raila ni kuwa Uchaguzi urudiwe ajaribu bahati yake tena!
Athari ya gharama kwa uchumi wa nchi hatojali!
 
Asiekubali kushindwa sio mshindani. Odinga akubali tu kwamb bwana mdogo kampa za uso.
Kushindwa uchaguzi na mtu anaekubalika ni jambo la kawaida. Hata Trump na "Make America Great Again" yake aliangukia pua, ije kuwa yeye.
Jamaa mfumo haumtaki, na wananchi pia hawamtaki so sijui anang'ang'ania nini.

Anajifanya haamini kama bwana mdogo kamlaza na vitu siku ile ya kutangaza matokeo?!
 

Ruto did not attain 50+1 threshold, Azimio says in court papers!​

Matokeo ni haya hapa:

Last updated: 15/08/2022, 18:59:28 local time (GMT+3)
Final results from IEBC
CandidatesVote
William Ruto

William Ruto


50%
50.5%
7,176,141
Raila Odinga

Raila Odinga
48.8%
6,942,930
roots.png
agano.png

Other Candidates
0.6%
93,956
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027.
Asilimia ya Ruto: 7,176,141/14,213,027 x 100 = 50.4899%
Asilimia ya Raila: 6,942,930/14,213,027 x 100 = 48.8491%
Asilimia ya George: 61,969/14,213,027 x 100 = 0.4360%
Asilimia ya David: 31,987/14,213,027 x 100 = 0.2251%
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027. = 100.0001%

Raila anakiri kuwa Ruto amepata kura 7,176,141 lakini HATAKI kukubali kuwa kura za Ruto ni sawa na asilimia 50.49% kama ilivyotangazwa na tume huru ya uchaguzi wa kenya. Raila anadai kuwa Ruto hajafikisha kigezo cha 50% + 1. Huko ndiko kutapatapa kwani mahesabu yanaonesha kuwa Ruto amepata 50% + 69,629.

BILA SHAKA Raila anandoto za kutaka kuishawishi mahakama ya juu kabisa ya kenya ili IBADILI KATIBA YA KENYA KUHUSU KIGEZO CHA KUWA RAIS WA KENYA KUPITIA KURA. Iko hivi: Kwa sasa mtu anahesabika kuwa ameshinda kama atapata kura 50% + 1 ya KURA HALALI ZILIZOPIGWA (VALID VOTES). Kwa tafsiri ya sasa, kura halali ni zile zinazoonesha KWA WAZI mpiga kura alikuwa anampigia mgombea yupi, kwa hiyo kura yake kuhesabiwa. Raila anataka kubadili TAFSIRI YA KURA HALALI kuwa ni kura zote zilizopigwa hata kama zimeharibika na hazikuhesabiwa kwa mgombea yoyote!! Ukifanya hivyo itapunguza asilimia ya kila mgombea na Ruto hatafikisha hiyo 50%+1. Huko ndiko kutapatapa maana Raila anataka mahakama ikubali kitu ambacho hakikubaliki duniani kote!! Kwa mfano mpiga kura kutokumpigia mgombea yoyote na akatumbukiza kura yake bila chaguo lolote, au anawachagua wagomea wote, hiyo nayo kwa Raila ni kura halali!!
Vyovyote iwavyo,angetumia hekima ya utu uzima wake angekubali yaishe, angejiongezea heshima na legacy Bora kabisa
 
Aseme kapata ngapi?
Yeye kwa sasa naona anakubaliana na kura zake zilizotangazwa na tume ya uchaguzi maana hana namna ya kuzikataa maana ziko wazi mtandaoni na kila mmoja anaweza kujumlisha!! Ila anasema yeye na mwenzake hakuna aliyefikia 50%+1. ( Ikumbukwe mwanzoni alijitangazia kuwa yeye ndiye mshindi kwa kufikisha kigezo cha 50%+1), kwa sasa anakiri hata yeye hajafikisha 50%+1. Ameamua kujaribu kumwaga mboga na ugali ili uchaguzi urudiwe!! Anataka kubadilisha maana ya KURA HALALI! Anataka watu waamini kuwa kila kura iliyotumbikizwa kwenye sanduku la kura ni halali hata kama imeharibika!! Hii itafanya asilimia ya kila mmoja kupungua hivyo kupelekea Ruto kutokufikisha 50%+1.
 
Nyie ndio wale wa kitojali hata unafiki mnashabikiaga, Kama Kuna uhuni wa tume ni sahihi Raila kunyoosha Mambo hata akishindwa, Leo Kenya inayosifiwa kwa uhuru na demokrasia kinara wa hatua hiyo ni Odinga. nyie endeleni na nyimbo zenu za "tumeipenda wenyewe.....chichiemu nyambari wani" Sasa mnasokomezwa MITOZO TOZO hadi mkufe
 
Moja ya madai ya Raila ni kwamba kura za majimbo 30 hazikujumlishwa katika hayo matokeo kitendo ambacho Chebukati alikuwa alijaribu kubadilisha kile wananchi walichokuwa wameamua, hata tume hii ya Uchaguzi Railla alichangia pakubwa kupatikana kwake, hivyo hata mahakamani Raila alijua mapema kwamba tume haitatoa haki hivyo akachangia kupatikana kwa katiba inayomuwezesha kupata haki mahakamani, nyei chezeeni Uchaguzi lakini mahakama itatoa haki kwa walioenda kuilalamikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie ndio wale wa kitojali hata unafiki mnashabikiaga, Kama Kuna uhuni wa tume ni sahihi Raila kunyoosha Mambo hata akishindwa, Leo Kenya inayosifiwa kwa uhuru na demokrasia kinara wa hatua hiyo ni Odinga. nyie endeleni na nyimbo zenu za "tumeipenda wenyewe.....chichiemu nyambari wani" Sasa mnasokomezwa MITOZO TOZO hadi mkufe
Hana sababu ya msingi, ndio maana sababu za kukataa matokeo zimekuwa zinabadilika! Mwanzoni alisema yeye ndio mshindi kwa namna alivyokuwa amejumlisha kura zake na akatishia kuwa hatutakubali kama matokeo yatabadilishwa!
Baadaye akasema mahesabu yana makosa maana jumla ya asilimia ni 100.01% na kuna ziada ya kura 142,000 ikiwakilishwa na hizo asilimia 0.1% zilizozidi. Na hii ndiyo ilikuwa pointi yao kubwa ya kwanza!!b Baadaye wakagundua kuwa wamechemka kwenye mahesabu hayo!! Sasa Raila anadai yeye na Ruto hakuna aliyefikisha 50%+1, kwa hiyo uchaguzi urudiwe!!
 
Mmeshageuka mahakama, nyie time yenu haishitakiwi ndio maana mnaumia.mtu akienda kudai haki yake mahakamani
 
Mmeshageuka mahakama, nyie time yenu haishitakiwi ndio maana mnaumia.mtu akienda kudai haki yake mahakamani
Nani aumie? Huyo mzee anaenda kujiaibisha mahakamani! Kura zote zipo hadharani mtandaoni hakuna kificho chochote! Mzee kura hazikutosha kwa hiyo anajaribu kuzitafuta kwa tochi mahakamani!
 
Mwenzio amebeba mzigo wa makaratasi amepeleka mahakamani, wewe unasema anatapatapa tena kwa kigezo cha matokeo ya Chebukati anayelalamikiwa na Odinga na timu yake.
Huo ushahidi kama ndio una support hoja zilizomo kwenye petition yake basi hamna kitu ndugu.

Ni ushahidi wa kuokoteza tu.

Majaji wakiwa na fikra pana za maslahi ya nchi , wanampiga mapema tu.
 
Huyo mzee aache zake, yaani hana nia njema na taifa lake, anataka uchaguzi urudiwe, nchi itumie hela nyingine nyingi kwenye uchaguzi badala ya kuwekeza kwenye mambo ya msingi ambayo yanaumiza wananchi. Huyo babu ni muhujumu uchumi

Hahaha..
Nia ya Raila ni kuwa Uchaguzi urudiwe ajaribu bahati yake tena!
Athari ya gharama kwa uchumi wa nchi hatojali!
... kama akiweza kuishawishi mahakama kuhusu madai yake, kurudia uchaguzi sio tatizo - demokrasia ni gharama. Otherwise, tukienda kwa thinking za "hajali gharama za uchumi wa nchi", ni kuwapa wahuni nafasi ya kupora chaguzi halafu kinafuata kibwagizo cha "gharama za kurudia uchaguzi" kana kwamba walivyokuwa wanapora hawakujua ni gharama. HAKI haina mbadala!
 

Ruto did not attain 50+1 threshold, Azimio says in court papers!​

Matokeo ni haya hapa:

Last updated: 15/08/2022, 18:59:28 local time (GMT+3)
Final results from IEBC
CandidatesVote
William Ruto

William Ruto


50%
50.5%
7,176,141
Raila Odinga

Raila Odinga
48.8%
6,942,930
roots.png
agano.png

Other Candidates
0.6%
93,956
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027.
Asilimia ya Ruto: 7,176,141/14,213,027 x 100 = 50.4899%
Asilimia ya Raila: 6,942,930/14,213,027 x 100 = 48.8491%
Asilimia ya George: 61,969/14,213,027 x 100 = 0.4360%
Asilimia ya David: 31,987/14,213,027 x 100 = 0.2251%
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027. = 100.0001%

Raila anakiri kuwa Ruto amepata kura 7,176,141 lakini HATAKI kukubali kuwa kura za Ruto ni sawa na asilimia 50.49% kama ilivyotangazwa na tume huru ya uchaguzi wa kenya. Raila anadai kuwa Ruto hajafikisha kigezo cha 50% + 1. Huko ndiko kutapatapa kwani mahesabu yanaonesha kuwa Ruto amepata 50% + 69,629.

BILA SHAKA Raila anandoto za kutaka kuishawishi mahakama ya juu kabisa ya kenya ili IBADILI KATIBA YA KENYA KUHUSU KIGEZO CHA KUWA RAIS WA KENYA KUPITIA KURA. Iko hivi: Kwa sasa mtu anahesabika kuwa ameshinda kama atapata kura 50% + 1 ya KURA HALALI ZILIZOPIGWA (VALID VOTES). Kwa tafsiri ya sasa, kura halali ni zile zinazoonesha KWA WAZI mpiga kura alikuwa anampigia mgombea yupi, kwa hiyo kura yake kuhesabiwa. Raila anataka kubadili TAFSIRI YA KURA HALALI kuwa ni kura zote zilizopigwa hata kama zimeharibika na hazikuhesabiwa kwa mgombea yoyote!! Ukifanya hivyo itapunguza asilimia ya kila mgombea na Ruto hatafikisha hiyo 50%+1. Huko ndiko kutapatapa maana Raila anataka mahakama ikubali kitu ambacho hakikubaliki duniani kote!! Kwa mfano mpiga kura kutokumpigia mgombea yoyote na akatumbukiza kura yake bila chaguo lolote, au anawachagua wagomea wote, hiyo nayo kwa Raila ni kura halali!!
Yanatuhusu?
 
Back
Top Bottom