Kenya 2022 Raila Odinga anatapatapa: Ameibuka na hoja tofauti, sasa anadai Ruto hakufikisha kura 50% + 1

Kenya 2022 Raila Odinga anatapatapa: Ameibuka na hoja tofauti, sasa anadai Ruto hakufikisha kura 50% + 1

Kenya 2022 General Election
anaitumia haki hiyo vibaya sana! anazidi kupoteza resources za wakenya bure!!
naamini mahakama itatupilia mbali huu upuuzi wenye lengo la kupowapotezea muda wa maendeleo wananchi.
It is not over until it is over.
 

Ruto did not attain 50+1 threshold, Azimio says in court papers!​

Matokeo ni haya hapa:

Last updated: 15/08/2022, 18:59:28 local time (GMT+3)
Final results from IEBC
CandidatesVote
William Ruto

William Ruto


50%
50.5%
7,176,141
Raila Odinga

Raila Odinga
48.8%
6,942,930
roots.png
agano.png

Other Candidates
0.6%
93,956
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027.
Asilimia ya Ruto: 7,176,141/14,213,027 x 100 = 50.4899%
Asilimia ya Raila: 6,942,930/14,213,027 x 100 = 48.8491%
Asilimia ya George: 61,969/14,213,027 x 100 = 0.4360%
Asilimia ya David: 31,987/14,213,027 x 100 = 0.2251%
JUMLA YA KURA HALALI: 14,213,027. = 100.0001%

Raila anakiri kuwa Ruto amepata kura 7,176,141 lakini HATAKI kukubali kuwa kura za Ruto ni sawa na asilimia 50.49% kama ilivyotangazwa na tume huru ya uchaguzi wa kenya. Raila anadai kuwa Ruto hajafikisha kigezo cha 50% + 1. Huko ndiko kutapatapa kwani mahesabu yanaonesha kuwa Ruto amepata 50% + 69,629.

BILA SHAKA Raila anandoto za kutaka kuishawishi mahakama ya juu kabisa ya kenya ili IBADILI KATIBA YA KENYA KUHUSU KIGEZO CHA KUWA RAIS WA KENYA KUPITIA KURA. Iko hivi: Kwa sasa mtu anahesabika kuwa ameshinda kama atapata kura 50% + 1 ya KURA HALALI ZILIZOPIGWA (VALID VOTES). Kwa tafsiri ya sasa, kura halali ni zile zinazoonesha KWA WAZI mpiga kura alikuwa anampigia mgombea yupi, kwa hiyo kura yake kuhesabiwa. Raila anataka kubadili TAFSIRI YA KURA HALALI kuwa ni kura zote zilizopigwa hata kama zimeharibika na hazikuhesabiwa kwa mgombea yoyote!! Ukifanya hivyo itapunguza asilimia ya kila mgombea na Ruto hatafikisha hiyo 50%+1. Huko ndiko kutapatapa maana Raila anataka mahakama ikubali kitu ambacho hakikubaliki duniani kote!! Kwa mfano mpiga kura kutokumpigia mgombea yoyote na akatumbukiza kura yake bila chaguo lolote, au anawachagua wagomea wote, hiyo nayo kwa Raila ni kura halali!!



Nadhani umeamua kukurupuka bila kuwa na hoja ya msingi.

Nimepitia nondo za RAO zilizopelekwa mahakama ya juu kabisa.

Zipo hoja zaidi ya 100 wewe umeamua kukimbilia kipengele kidogo pengine kupotosha au kufurahisha nafsi yako.

Hoja kuhusu ushindi wa 50 na 1 ni miongoni mwa sababu RAO kaielezea kwamba hata ukichukua hesabu ambazo zipo katika port ya Tume bado Ruto hajafikisha idadi ya kura halali zitakazomwezesha kuwa Rais.

Na kushauri pitia upya hoja zilizopelekwa mahakamani usikimbie kuzungumzia vipande vichache ili kupotosha.
 
Back
Top Bottom