Mitanzania hasa hii inayojiita Chadema mingi ni mijitu ambayo imekosa mwelekeo wa maisha na kusingizia tawala km chanzo cha umasikini na upumbavu wao.Mna mnkari na uchaguzi wa Kenya wakati huku kqrnu hata kura hampigi.
Hawa Vijana as CHADEMA ukiwachunguza wengi wanashinda kwenye draft, karata, vijiweni na wafanya mijadala kwenye magari bila kuwa na muda hata wa kuwaza juu ya maisha yao binafsi.
Unashangilia Lisu ambaye yeye yupo kazini, ana mke na maisha mazuri ikiwa watoto wake wanasoma South Africa.Wewe unakaa kupiga domo km zuzu!!!!!