Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe...
Utakua ulipenyeza rupia penye udhiaWako peace sana ase, ilishawahi kunitokea ishu moja tumegombana na mtu ghafla kama nusu saa hivi naona bajaji ipo nje kwangu wakashuka na walijitambulisha vizuri kwa kuonesha ID zao kila mmoja...
Yupo sahihi kabisa!Mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue...
Hela ya kiwi nimuhimu,nchi ina vumbi sana hiiHawajui vizuri
Afu ifike mahali tuache kujilanganisha na nchi za wazungu, ni mbingu na ardhi, juzi Kuna mtu nilikua naongea nae yaani police service ya kwetu kuja kufanana na nchi kama USA itachukua miaka 200 Mungu akitusaidia aisee....
Madhara ya kulegalize canabisMwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Odinga anasema kuwa polisi wa Tanzania wanapitia kwenye mafunzo ya kufundishwa utu kwa wananchi hata wakitaka kuja kukukamata lazima waombe Kwanza na wakikuta upo na kazi watakusubiri mpaka umalize ndipo wakuchukue...
Umedanganywa Sana Mauji ya Watu weusi yanayofanywa na Polisi umeona video ngapi zilizorekodiwa na Police? Kule Quantanam bay Gereza linaloweka Watu mahabusu bila kupelekwa Mahakamani hufikiri vizuri wewe.Hawajui vizuri
Afu ifike mahali tuache kujilanganisha na nchi za wazungu, ni mbingu na ardhi, juzi Kuna mtu nilikua naongea nae yaani police service ya kwetu kuja kufanana na nchi kama USA itachukua miaka 200 Mungu akitusaidia aisee...
We ngoja tu nikuache, kwa io unategemea polisi ndo wanahusika na wahalifu Guantanamo bay ambayo ni military prison na detention ya watu kama magaidi?Umedanganywa Sana Mauji ya Watu weusi yanayofanywa na Polisi umeona video ngapi zilizorekodiwa na Police? Kule Quantanam bay Gereza linaloweka Watu mahabusu bila kupelekwa Mahakamani hufikiri vizuri wewe.
Ukiingia kwenye 18 za Polisi wa Kenya utamuelewa RailaWakwetu ni afadhali kuliko wa Kenya mazee, alimaanisha uafadhali nafikiri.
Hujamuelewa ww, katusifia sana, kumbe ukipewa paper kuhusu hili tu hapa unapata 00% na masikio unachorewa kabisa..Ameamua kututukana kiaina
umefika kenya au unahis kuwazid kenya hadi usiwe na kasoro kabisa ?RAO hapo kaongopa
wakenya unawajua?Huwajui Hawa wetu Mzee Bora yenu