Tetesi: Raila Odinga yupo Tanzania kwa mapumziko

Kuna tatizo gani Rais wa Wananchi akiwa mapumzikoni Tanzania.
 
Ataonekana pemba akinywa juice ya ukwaju na kacholi
 
Baba yake hakuupata uraisi sembuse yeye? Anatangatanga kama Hamadi sharif
 
Aisee sijawahi kuona watu waongo kama wa jamii forum au nyote ni wanasiasa? Wanasiasa ndio hawasemagi kweli
 
Jamaa ataleta Ugomvi kama mzaha vile.
 
Mwanasiasa kaja kula bata Tanzania huku wafuasi wake masikini wakila mkong'ong'oto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…