Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,603
Hahaha alichoka kuapishwa tu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀 yule ni rais wa wananchi...kama rais wa wasafi tuSasa Rais kaja Tz wakati hajateua baraza la mawaziri?
Huyu anastahili kunyongwaNani wa kumuweka Raila ndani au watu mnaota humu ndani?. Raila anawafuasi sawa au zaidi ya uhuru ,lazima kujiuliza ukimuweka ndani wale wafuasi wake wakiamua kukinukisha nchi itakuwaje?
Kumuhifadhi hapa inaweza ikaleta uhasama kuwa nchi hii inakubaliana na kile alicho kifanya sasa tusubiri tuone kama kenya watatuma baruwa ya kuomba akabidhiwe kwenye serikali ya kenya maana walisaini mikataba ya kuwashugulikia wahalifu yani akikimbia nchi nyingine lazima akabidhiwe arudhishwe kule alikofanya uhaini au uhalifu tusubiri time will tellHii ni kwa mujibu wa Dw Dunia yetu leo mchana, saa 7 hii.
Hayupo Chyatow kweli?Habari ya idhaa ya kiswahili DW mchana huu wanadai Raisi clone wa Kenya eti yupo Tanzania likizo fupi....
sijui atakua mkoa gani nijaribu kuona kama naweza kupata nafasi ya kupiga nae PICHA kabla hajarudi kwao kuendesha nchi "yake"
Swali;atakaa muda gani??😵
Habari ya idhaa ya kiswahili DW mchana huu wanadai Raisi clone wa Kenya eti yupo Tanzania likizo fupi....
sijui atakua mkoa gani nijaribu kuona kama naweza kupata nafasi ya kupiga nae PICHA kabla hajarudi kwao kuendesha nchi "yake"
Swali;atakaa muda gani??😵
Mkuu Mafahali wawili hawakai zizi moja!!!!Kuna tatizo gani Rais wa Wananchi akiwa mapumzikoni Tanzania.
Alikuwa na furaha kubwa ya kuapishwa na akajisahau badala ya kwenda Ikulu, yeye akanyoosha kwenda kwa mkewe. Huyu na Pogba wanadanganyana sana.Sasa Rais kaja Tz wakati hajateua baraza la mawaziri?
Uchonganishwe na nani weweAsituletee uchonganishi........aondoke zake!!!