mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Wa kugombania CHANDIMU.Ugomvi gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kugombania CHANDIMU.Ugomvi gani ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa Rais kaja Tz wakati hajateua baraza la mawaziri?
Aliyemwapisha kashakamatwa, hata yeye ajiandae tuSasa Rais kaja Tz wakati hajateua baraza la mawaziri?
Ila Kenyata nyoko sana. Kawakaushia mpaka wamejiapisha. Anakamata mmoja mmoja. Huyu mzee inabidi arudishwe kwao kenyaAliyemwapisha kashakamatwa, hata yeye ajiandae tu
Hii ni kwa mujibu wa Dw Dunia yetu leo mchana, saa 7 hii.
Sasa cjui alikagua guard of honor, mh RAIS$Hii ni kwa mujibu wa Dw Dunia yetu leo mchana, saa 7 hii.
Hii ni kwa mujibu wa Dw Dunia yetu leo mchana, saa 7 hii.
Hivi utakwenda kwa mtu bila kukaribishwa?Asituletee uhasama na Kenya.........,.. aondoke zake hapa
Hii ni kwa mujibu wa Dw Dunia yetu leo mchana, saa 7 hii.
yawezekana kakaribishwa lakini..huu ni ujinga kwa aliyemkaribisha..Hivi utakwenda kwa mtu bila kukaribishwa?
Lisu alikuwa Kenya akiiponda Tanzania kutoka kule mbona hukutoa ushauri kuwa arudishwe Tanzania asiwachonganishe wakenya na Tanzania?Kama kweli arudi kwao asituchonganishe na wakenya wanaoishi kwa mjibu wa katiba ya kenya
Aibu unayo wewe na IQ yakoNi aibu kwa serikali kumkaribisha Odinga