Raila set to become AU Special Envoy in handshake deal

Zaidi ya nusu ya waliojiandikisha kupiga kura hawakujitokeza kupiga kura kwenye uchaguzi mdogo (Siha na Kinondoni). Huko ndo tunakoelekea!


Lakini hatujafikia huko, hivyo hakuna sababu ya kulinganisha na Kenya, ambapo zaidi ya nusu nzima wa Wananchi hawakumtambua Raisi Uhuru Kenya kama Raisi wao, isitoshe zaidi ya watu 300 walifariki!
 


Wewe jamaa hauna akili kabisa, hivi unajua kwamba Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstaafu tena wa Waziri Mkuu wa coalition na siyo wa kuteuliwa kama hapa kwetu? hivyo kupewa gari na ulinzi ni kawaida!
 
Wamakonde tunasema time will tell!
 
Inapendeza...Siasa sio vita..
 
Demokrasia ya Kenyatta kwa Odinga tu? Mbona huseme kwa Miguna Miguna?
 
Magufuli alimteuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro kuwa rc ambae ni mpinzani wake kisiasa

Magufuli akamteuwa naibu waziri wa maji ambae alikuwa mpinzani wake kisiasa

Sasa nyie UFIPA republic mnataka democrasia ya aina gani?

Au mlitaka Magufuli amteuwe Lowasa makamu wa rais?
 
Wewe jamaa hauna akili kabisa, hivi unajua kwamba Raila Odinga ni Waziri Mkuu mstaafu tena wa Waziri Mkuu wa coalition na siyo wa kuteuliwa kama hapa kwetu? hivyo kupewa gari na ulinzi ni kawaida!
Kinyume chake kwetu tuna mawaziri wakuu wastaafu ambao wanafilisiwa mashamba na mali zao.
 
Kinyume chake kwetu tuna mawaziri wakuu wastaafu ambao wanafilisiwa mashamba na mali zao.


Ni Mawaziri Wakuu wepi hao waliofilisiwa mashamba? Isitoshe nijuavyo mimi Mawaziri wakuu wastaafu wote wanalipwa na Serikali yetu zaidi ya 80% ya Mshahara, nyumba, gari, Matibabu na wanalindwa na Usalama wetu wa Taifa, na hii huduma yote inatolewa na Serikali yetu!
 
Nimelinganisha marais sijalinganisha vyama.
 
Acha kuongea shombo dogo, hujui chochote!
 
Acha uongo mchana kweupe. Mbowe hahusiki na kifo cha Akwilina, hata mambosas na ziro wanafahamu hill.
Una uhakika gani na hili kamanda..be careful kwa sababu kama aliambiwa asiandamane akalazimisha aandamane eti demokrasia unajuaje kama alisababisha tukio ili lawama ziende kwa serikali..ni kwa sababu hamuwajui hao
 
Wakati mnamnyang'anya Sumaye mashamba yake kwa chuki za kisasa hakuwa waziri mkuu mstaafu.
 
Wakati mnamnyang'anya Sumaye mashamba yake kwa chuki za kisasa hakuwa waziri mkuu mstaafu.


Wewe Sumaye unamjua zaidi kuliko Serikali yetu wanavyomjua? Mbona Fisadi Lowasa hajanyang'anywa ranchi yetu aliojimegea? Isitoshe kwa nini Sumaye hakwenda Mahakamani kushitaki ili alipwe fidia kama ni kweli alionewa?
 
Reactions: Oii
Unamfahamu Tundu Antipas Lissu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…