imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Haina haja ya kufufua makaburi mkuu hayo raisi angeachana nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina haja ya kufufua makaburi mkuu hayo raisi angeachana nayo
Unamfundisha rais ambaye umma umemtuma kutenda haki kazi? Au wewe siyo sehemu ya umma? Jitafakari!Haina haja ya kufufua makaburi mkuu hayo raisi angeachana nayo
Duh! Duniani kuna watu...yaani hutaki kabisa hata uchunguzi ufanyike ili mashaka waliyo nayo wananchi yazikwe kama alivyozikwa muasisi wake. Pole sana kama matokeo ya ukweli yatakutesa na kukunyima usingizi.Haina haja ya kufufua makaburi mkuu hayo raisi angeachana nayo
Kwanini tusianzie kuchunguza RICHMOND, EPA, ESCROW, DOWANS na mikataba ya gesi na madini?Duh! Duniani kuna watu...yaani hutaki kabisa hata uchunguzi ufanyike ili mashaka waliyo nayo wananchi yazikwe kama alivyozikwa muasisi wake. Pole sana kama matokeo ya ukweli yatakutesa na kukunyima usingizi.
Kama kweli wewe RWANDES una nia njema na hili taifa, huwezi kuja na upuuzi kama huu ukanyamaziwa na ndio maana hadi sasa post no. 24 hakuna hata mtu mmoja amethubutu kukuunga mkono...je huoni aibu?
Naanza kuwa na wasi wasi nawe RWANDES, bila shaka yoyote lazima utakuwa ama ni Biswalo mwenyewe au mojawapo katika walionufaika na uovu huo na kinachokusukuma hapa ni woga tu, uoga wa kuumbuliwa!
Ukweli hauwezi kufichika hata ukifanya jitihada gani, ukweli unaweza kuzikwa kwa muda lakini kamwe haukubali kufa...Truth lives for ever and only truth can set you free!
biswalo siyo raisi kuguswa na hata cheo cha Dpp siyo rahisi kuguswa utaniambia zitabaki porojo za mitandaoni za kuchafuana
Mwandiko wako unadokeza kwamba wewe ni mtu duni sana.Ajue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
Mbona hueleweki unatishia serikali au unamtisha rais? We kweli nyau, umetumwa na Biswalo? Km kuna uhalifu na uonevu ulifanyika kwanini usichunguzwe.Ajue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
Biswalo ni mtu mdogo sana we nyau usitetee uovu au ulifaidika na chochotebiswalo siyo raisi kuguswa na hata cheo cha Dpp siyo rahisi kuguswa utaniambia zitabaki porojo za mitandaoni za kuchafuana
Au we ndo Biswalo mwenyewe nini!
Acha aruhusu Watu wamedhurumiwa Mali na Fedha zao Acha kutetea DhurumaAjue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
Inasemekana ameanza kuhamishia "Ngawira" zake huko ubeberuni"ngoja tuchunguze alikopeleka hela za watu
Yule ibilisi aliivuruga sana nchi ndiyo maana yuko motoni anatesekaHuyu wameshamuona dhaifu. Wamejua ukitaka umuwin we mseme Magufuli kwa ubaya.
Kabendera katumwa. Watakuja wengine wengi. Kuongoza nchi za kiafrica sio jambo rahisi kama mama anavyodhania ila muda utamuambia. Ama utengeneze maadui wapya ama utengeneze marafiki wapya.
Kwa sasa kila mtu ataibuka na lake, yaani kwa serikali dhaifu hata mvunja sheria huwa anajiona ana haki.
Wewe ndio mbumbumbu kwelikweli! Magufuli hana legacy yoyote ya kuenziwa hata robo! Labda kama unataka kutuambia utekaji, mauaji, kubambika watu kesi, dhuluma na ubadhirifu navyo ni vigezo vya kumuenzi mtu huko kwenyu SUKUMAGANG!Ajue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
DOWANS, EPA, ESCROW, RICHMOND na mikataba ya madini na gesi yalifanywa kwa mujibu wa sheria ipi?Tulia dawa iwaingie vizuri, uchunguzi unafanyika kuangalia kama mliyofanya yaliakua na kwa mujibu wa sheria au la hasha.