Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
wizi kwasababu wewe hujaskia mnada wake? Au una sababu nyingine ya kusema hivyoWale jamaa walikua wanazoa nakumbuka kesi mmoja ya Mwanasheria yule wa Arusha walichukulia magari yake ya kifahari sijawahi kusikia mnada wake palikua na Mjeruman tuu...mimi nilijua ule ni wizi tu kama wizi mwingine...
Magari yapo bara barani waligawiana wezi hao...wizi kwasababu wewe hujaskia mnada wake? Au una sababu nyingine ya kusema hivyo
Hayo mengine ata wewe unaweza kuyaanzisha.Kwanini tusianzie kuchunguza RICHMOND, EPA, ESCROW, DOWANS na mikataba ya gesi na madini?
Ile haikuwa kisheria ilifanyika kihuni bin kujambazi bin ukatili!Ajue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
fikiri kdg kabla hujaandika!Haina haja ya kufufua makaburi mkuu hayo raisi angeachana nayo
Hizi ni hadithi ambazo hazina maana na ambazo haziwezi kuzingatiwa na kila mwenye akili timamu na mkweli wa nafsi.Ajue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
Ana nini cha pekee, hadi asiguswe? Suburia hili jizi, siku litakaposimamishwa kizimbani. Hakuna uovu usio na malipo.biswalo siyo raisi kuguswa na hata cheo cha Dpp siyo rahisi kuguswa utaniambia zitabaki porojo za mitandaoni za kuchafuana
Haya mataga watakujibDOWANS, EPA, ESCROW, RICHMOND na mikataba ya madini na gesi yalifanywa kwa mujibu wa sheria ipi?
Uko njiani kucheua mpunga babaaaaaAjue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
ile unapigwa lung'anda, alafu unapewa kimeo, kisha unacheua salio"Pre bargaining" ndio kitu gani?
Fisadi mkubwa wewe uliyefaidika na udhulumaji wa bwana yuleAjue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini
mimi siwezi, sijajificha ughaibuni kama Bendera
Hakuna anayetetea ila tunataka kama ni uchunguzi wa wizi ufanyike kwa wizi wote uliowahi kutokea sio kudandia swala hili kwasababu ya maslahi ya watu fulani wenye uwezo wa kununua 'haki'. DOWANS, EPA, ESCROW, RICHMOND na mikataba ya kitapeli nayo ichunguzwe. Twiga wamepandishwa ndege, tani 1 ya cocaine imekamatwa kule kusini uchunguzi utafanyika lini? Kama hayo kombe linafunikwa hili la plea bargain linavaliwa njuga kwa maslahi ya nani? Tusije tukawa tunajifanya tunatafuta haki kumbe uhuni mtupuWanufaika utawajua tu
Eti lipo kisheria
Kuiba nako kupo kisheria? Kudhulumu je
Bureau de Change walibeba mpaka laptops za nini? Mbona hazijarudi ziko wapi na hela je
Hapo pia kulikuwa na uhalali wa kupora
Kwanini mnateteaga wizi
Acheni uchunguzi ufanyike na kama ulikuwa ni haki sawa
Pole sanaAjue kuwa hao wanaompelekea maneno na kumshauri uchunguzi ufanyike ajifikrie yeye mwenyewe je hayo yaliyokuwa yanafanyika hayakufanyika kwa mjibu wa sheria?
CAG hata kama anveweza kukagua ofisi yake kama raisi lazima dosari zionekane na akumbuke kuwa hakuna serikali kuanzia awamu ya nne hadi ya tano ambayo katika idara yoyote ambayo ilikosa dosari katika ukaguzi ambao amewahi kufanya CAG zaidi ya hapo labda huenda baada ya uchunguzi kuna vifungu vya sheria anaweza kumwajibisha aliyewahi kuwa DDP biswalo mganga ambaye kwa sasa ni jaji. wanasema kwa katiba yetu raisi anamamlaka makubwa lolote linaweza kutokea.
Siamini kama serikali ya awamu ya sita ingeweza kumpa ujaji biswalo mganga bila kujuwa tuhuma zinazosemwa hivi sasa, nachofaham lazima walijiridhisha kwa mambo mengi hadi kuteuliwa kwake. zitto na wenzake wapo kwa ajiri ya kazi maalumu ya kuchafua ligacy ya aliyekuwa raisi wa awamu ya tano Dr.john pombe magufuli lakini wajue kuwa hilo haliwezekani na halitiwezekana hata siku moja.
Mitego anayoingia raisi kuna kilasababu yakuweza kuiangalia ili asije ajaingizwa kwenye kuharibu serikali yake maana zaidi yakuongeza vijana wengine ajue kuwa anaofanya nao kazi ni walewale.
Mtu yeyote anayelalamika kudhulumiwa mali zake ana haki yakwenda kwenye vyombo vya sheria kuliko kushambulia aliyekuwa mteule wa raisi na kama aliwaibia mnahaki ya kumfungulia mashitaka yoyote yale mnayoona yanafaa.
Nachifahamu kila mwenye kesi a yoyote kila kitu kilikuwa kinafanywa kwa makubaliano na kwa mjibu wa sheria.
Mheshimiwa raisi kuwa makini na magenge hayo yanayotaka kila kitu yakuamulie mengine amua mwenyewe, tuhuma ni nyingi mno na baadhi ya maneno yanayosemwa na mwandishi wa habari erick kabendera yanaweza yakaleta taharuki nchini