Rais akiruhusu 'plea bargaining' kufanyiwa uchunguzi katika Serikali ya Awamu ya Tano atakuwa amekosea sana

Kha angalau afukue uozo mdogo wa lile jambazi lililofukiwa chattle. Labda yale masaidizi yake yatafikiwa endelea madam!
 
Sheria ilipitishwa bungeni naona mnajikuna wenyewe tu
 
Ni "rahisi" na si "raisi".
Kama kuandika tu kunakupa shida,unatoa wapi uhalali wa kupinga jambo jema la kutupatia haki sisi tuliodhulumiwa na mwenda kuzimu na genge lake!!??

kanunua simu jana msemeheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…