Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Ulijuaje hili au wewe mtu wa physiology!!?
 
Umeulizaa halafu ukajijibu. Anyway Makamu wa Rais kwenye Katiba hakuwepo Ila ilikuwa wanamchukulia kinadharia tu sababu kulikuwa na muungano ambao unahusisha Tanganyika yenye ardhi kubwa na visiwani kwenye ukubwa kidogo.

1984 ndipo ilipokuwa envisaged kwenye Katiba baada ya mabadiliko ya 1977 then yakaja mabadiliko madogo ya 1984 ambayo yaliwekwa pamoja na mambo mengine Bill of Rights lakini hii ya ndio iliweka wazi kabisa utaratibu mzima wa kupatikana Makamu wa Rais na kuestablish ofisi yake kikatiba na haki pamoja na haya mambo mengine kuhusu utawala atafanyaje kazi na endapo Rais akifariki yeye VP ataassume vipi madaraka.

So unajua hata wao Zanzibar waliishia kuicopy tu Katiba yetu save for few amendments ambazo zilikuwa za muhimu kwa kuwa ilikuwa inaapply kwa mazingira ya Zanzibar.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nakusalimia kwa jina la JF. Nawe unajibu where we dare to talk openly 😜😜
Where we dare to talk openly 😘
 
Mambo yanazidi kutaradadi. Ndo walisema ataondoka mmona mmoja eh?
 
Hapo anamaanisha Samia...kuhusu ile kauli yake juu ya risasi zilizopigwa kwa lisu...alisema askari wake ni imara hawawezi kukosa mtu kwa risasi nyingi vile....Sasa kwa maneno yake ndo ameamua kumuita MAMA WA MIPASHO
Uko sahihi kabisa. Tulio wengi hatuelewi kabisa nini kilikuwa kinaendelea kwenye swala hili. Ongezea na nyongeza nyingine kwenye post hii hapa #401
 
Makosa yao yalikuwa yapi? Binafsi Sitta nilimuona mzalendo kama ilivyokuwa kwa Magu, alisaidia sana kuibua wizi wa JK hasa kwa kupitia kijana wake 'Zitto' .

Vipi kuhusu Ben, ni mipango ya Mungu au ni yaleyale?
 

Naomba ujitokeze Wana JF tukukabidhi Medali ya Utabiri bora kabisa wa Karne ya 21. Hakuna aliyekuamini lakini ni kweli yametokea!! Mwamba kafukiwa Mama ana nyonga Usukani sasahivi.
Hongera sana kwa utabiri huu.
[emoji1433][emoji1433][emoji1433]
 
May 10 2020 πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Mna kikosi kazi cha kuweesha hizi ndoto zenu.
 
Walimtaka nchimbi na hajapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…