Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Bado nafasi anayo tena 2030 ila itakuwa ni ya kwa njia ya kugombea!Walimtaka nchimbi na hajapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nafasi anayo tena 2030 ila itakuwa ni ya kwa njia ya kugombea!Walimtaka nchimbi na hajapata
Kwa Katiba ya chama gani?Bado nafasi anayo tena 2030 ila itakuwa ni ya kwa njia ya kugombea!
Kumbe!!!! Huyu atakuwa kigogo wa huku jfWalimtaka nchimbi na hajapata
Huenda huyu ni kigogo2014Hii kenge huwa inajifanya kutabiri vifo vya watu
Kumbe nyuma ya pazia iko kwenye mipango ya kufanya mauaji
Siku yako itafika.
Hapa kuna uwezekano wa asilimia kubwa sana kwamba walimuua Hayati MagufuliMkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Hii comment ina proof wrong wanasema Magufuli alikuwa kwa UVIKO-19Kuna mixture ya mambo mengi.. tungoje.
Ya Chama kile ambacho yeye ni mwanachamaKwa Katiba ya chama gani?
Badala ya hoja unaleta udaku.
Code coded uncodedWakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Hii kenge huwa inajifanya kutabiri vifo vya watu
Kumbe nyuma ya pazia iko kwenye mipango ya kufanya mauaji
Siku yako itafika.
Sasa mmezalisha kina Magufuli zaidi ya 1000
Baada ya kusoma uzi huu nimekumbuka kuna mtu aliniambia, JK alikuwa na nia ya dhati kabisa juu ya katiba mpya, ila 'WAKAMZUIA'
Hizi sijazipata mkuu, wanaanzisha maeneo gani hapa nchini? Kaazi kweli kweli.Nasikia Wachina wanaanzisha kambi ya kijeshi nchini, nini maoni yenu kuhusu hili?
Watajulikana tu, jinai haifi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sioni aibu, ni kawaida yangu kutopenda mtu anayefichaficha taarifa wakati sio verified ID. Sema username yake ishatoa angalizo kwamba Tumia akiliAibu naona mimi
Tetesi zipo kitambo mbona, ila currently nadhani kambi itakuwa sambamba na ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.Hizi sijazipata mkuu, wanaanzisha maeneo gani hapa nchini? Kaazi kweli kweli.
Miaka ile juma nature alishawahi kuimbaTetesi zipo kitambo mbona, ila currently nadhani kambi itakuwa sambamba na ujenzi wa bandari ya Bagamoyo.
Inasemekana kuwa kwenye bandari hapo hapo ndo itakuwapo base yao (Navy) hivyo vitu kama ku-repair meli zao za kivita nk vitafanyika hapo.
Pia tetesi zinasema kuna gesi wanailenga (probably maeneo hayo kuna gesi au ile ya kusini).
Kiufupi kuna mambo mengi kwenye hiyo bandari ambayo watu hawayasemi.
Nahisi ni hawa mtoa mada anaowazungumzia.Nani hao mkuu?!
Bado muda wake wa kupita haujaisha?Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Una maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni....