Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mkuu pole kwa majukumu ya ujenzi wa taifa hili la tozonia.Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pole kwa majukumu ya ujenzi wa taifa hili la tozonia.Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
AiseeMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Bado hadi msimu wa half time ufike
Kipindi cha pili kinaanza lini au ndio baada ya uchaguzi? Mbona tutakuwa tumechoka saaana?Bado hadi msimu wa half time ufike
Kipindi cha pili Cha mchezo ndio ataingia mchezaji mpya
Ww kamama umenichekesha mnooo,,,Hamuoni ama mumeamua kufunga macho jamani? Tunawategemea
Watu tunateseka bure na deep state wamekaa kimya tu[emoji23]Ww kamama umenichekesha mnooo,,,
tatizo kubwa hawa watu huwa tunawaombea sana mbele za Mungu lakini huwa wanajiungamanisha sana na miungu na mambo ya giza na kumfanya Bwana apate ugumu wa kuwazingiraAlmighty God have mercy on us, destroy their evil plan and give us the best among the best, in Jesus might name, everyone say AMEEN
Unataka nini?Hamuoni ama mumeamua kufunga macho jamani? Tunawategemea
Mkubwa salute you popote ulipo Dunia hii if at all upo hai. Hii siyo kawaida.Stay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
So usalama wataifa ndo wamemua..kwanini wamefanya hivyo??Nyani Ngabu .
Kweli bhana, he has been fixed
Wala siyo unabii..bali yuko kwenye sysyem anayajuaMkuu upoooooo, unabii wako umetimia mkuu, salute mkuu upoooooooo,
rudia tenaBadala ya hoja unaleta udaku.
Kifo cha Magufuri sio Corona wala Tatizo la moyo ila magonjwa haya mawili yametumika kama kivuli,sababu kubwa ni jinsi alivyokuwa anaongoza nchi.Tatizo lenu tukitabiri mnatuona wapuuzi na Mods wanafuta nyuzi zetu.Hili swala nililiota 2016 na hata kabla ya kuwa Rais niliota kwamba yeye ndio Rais,kwakifupi nilioneshwa maisha ya mwisho ya Magufuri kuja kuwa Rais na kifo chake
Kifo cha Magufuri sio Corona wala Tatizo la moyo ila magonjwa haya mawili yametumika kama kivuli,sababu kubwa ni jinsi alivyokuwa anaongoza nchi.Tatizo lenu tukitabiri mnatuona wapuuzi na Mods wanafuta nyuzi zetu.Hili swala nililiota 2016 na hata kabla ya kuwa Rais niliota kwamba yeye ndio Rais,kwakifupi nilioneshwa maisha ya mwisho ya Magufuri kuja kuwa Rais na kifo chake