Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Walianza kwa kuikata nguzo kuu ya mh wa 17/03/2021, yaani waliikata ile nguzo yake mnamo 24/07?

Tarehe 25/07 huwa namkumbuka mla kiapo mmoja akisema, nilikuwa nasogoa na huyu wa 24/07 jana (23/07) jioni, baadaye naambiwa ametutoka, sijui alikwenda kukamilisha execution.
Basi inaonekana kikwete alikuwa swhemu ya tema hii
 
I dont think kama walimfix...JIWE alikuwa anaumwa kitambo tu....Trip shamba trip gereji.....halafu ulinzi wake ulikuwa mkubwa si rahisi kumuwekea sumu.
NAKUHAKIKISHIA ALIUAWA NA NDANI YA WALIZI WAKE WALIHUSIK.HUON UTABIRI WA HUYU JAMAA ULIVYOKUJA MDA MREFU..LAKINI HATA MAGUFURI ALIJUA..MNAKUMBUKA KUNAKIPINDI ALIPEBDA KUSEMA MIMI SIPANGIWI KWANI MIMI NI RAIS
 
Mkuu hebu ota tena kama mama hayati tayari keshapata mchumba
 
Nashangaa deep state kuuq magufuri kwa kutaka kasi yq maendeleo nq usawa kwa wote
 
Back
Top Bottom