kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Mama kakaza mkuu. Bora tena ile stone tangawiziTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kakaza mkuu. Bora tena ile stone tangawiziTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Mkuu upoTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
[emoji23][emoji23] kama tar 17 March tuUnataka nini?
Basi inaonekana kikwete alikuwa swhemu ya tema hiiWalianza kwa kuikata nguzo kuu ya mh wa 17/03/2021, yaani waliikata ile nguzo yake mnamo 24/07?
Tarehe 25/07 huwa namkumbuka mla kiapo mmoja akisema, nilikuwa nasogoa na huyu wa 24/07 jana (23/07) jioni, baadaye naambiwa ametutoka, sijui alikwenda kukamilisha execution.
Aisee ko tusubiri ajaye maana huyu ni "caretaker ..." tuu .?Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Hao walinzi na usalama wa taifa ndo ilikiwa sehemu ya execution..na wakaamua kwenda kummalizia hopsital ya mzena walipommalizia mkapaIna maana marehemu na watu wake hawakuona huu uzi waongeze ulinzi.
NAKUHAKIKISHIA ALIUAWA NA NDANI YA WALIZI WAKE WALIHUSIK.HUON UTABIRI WA HUYU JAMAA ULIVYOKUJA MDA MREFU..LAKINI HATA MAGUFURI ALIJUA..MNAKUMBUKA KUNAKIPINDI ALIPEBDA KUSEMA MIMI SIPANGIWI KWANI MIMI NI RAISI dont think kama walimfix...JIWE alikuwa anaumwa kitambo tu....Trip shamba trip gereji.....halafu ulinzi wake ulikuwa mkubwa si rahisi kumuwekea sumu.
NAKUHAKIKISHIA ALIUAWA NA NDANI YA WALIZI WAKE WALIHUSIK.HUON UTABIRI WA HUYU JAMAA ULIVYOKUJA MDA MREFU..LAKINI HATA MAGUFURI ALIJUA..MNAKUMBUKA KUNAKIPINDI ALIPEBDA KUSEMA MIMI SIPANGIWI KWANI MIMI NI RAIS
HAKUNA KUACHA..NITAHAKIKISHA NASOMESHA WATOTO WANGU NA NDUGU WA UPENDE HUU ILI 2035 TUANZISHE MAPAMBANO YA SILAHA HADI TUWAUE DEEP STATEHuyu mama anamsogelea hata robo huyo aliyepita? Kama kweli wameweza kwa huyo kwa huyu mama kinashindikana nini? Tukae tu pembeni, tuombeane mengine tuyaache tu yalivyo
BENI WALIMUUA ILI KURAHISISHA MAUJI YA MAGUFURIMakosa yao yalikuwa yapi? Binafsi Sitta nilimuona mzalendo kama ilivyokuwa kwa Magu, alisaidia sana kuibua wizi wa JK hasa kwa kupitia kijana wake 'Zitto' .
Vipi kuhusu Ben, ni mipango ya Mungu au ni yaleyale?
[emoji38][emoji38][emoji38]Nyie mabeberu mko vizuri.
Id gani nyingine unatumiaStay tuned, kuna mada ningeipandisha hapa ungeelewa ila sasa nilitumia id nyingine kimkakati.
YametimiaUna maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni....
Tuambizane ukweli kama JPM aliuawa.Stay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
Nawewe uliwazaTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Bado naendelea kuhifadhi neno lakoMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.