Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

MAMA ATAENDELEA KUWA RAISI COZ AMESHAKUBALIANA NA DEEP STATE KUHUSU UELEKEO WA NCHI!!!NDIO MAANA KAINGIZA KIMKAKATI WATU NDANI YA BARAZA LA MAWAZIRI!!KAMA KINA MAKAMBA JUNIOR!!!MISSION ISHAFELI!!
 
Almighty God have mercy on us, destroy their evil plan and give us the best among the best, in Jesus might name, everyone say AMEEN
tatizo kubwa hawa watu huwa tunawaombea sana mbele za Mungu lakini huwa wanajiungamanisha sana na miungu na mambo ya giza na kumfanya Bwana apate ugumu wa kuwazingira
 
Kwa hiyo deep state hawakutama Rais anayepinga Rushwa..wala kutetea Rasilimali zetu..siyo?

 
Basi tuotee nani atakuwa Rais wa Tanzania 2025?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…