Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Mi hao The state siwaamini tena!!Waliachaje Chama kikaingiza mtu asiefaa kwenye uraisi?kwa nini???Wametuumiza sana na nimevunjwa moyo sana tu!!!
Hakuna cha The state ila ni manyangau fulani tu ili kulinda biashara zao walizoingia na watu mara baada ya mtoto wao kuingia cha kike huko kwa Xi- Jiping.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo kubwa hawa watu huwa tunawaombea sana mbele za Mungu lakini huwa wanajiungamanisha sana na miungu na mambo ya giza na kumfanya Bwana apate ugumu wa kuwazingira
Basi huyo Mungu atakiwa weak. Mungu gani anayeshindwa na viumbe wake eti kisa wamejiungamanisha na miungu na mambo ya giza ambayo kayaumba yeye.
Huyo atakuwa Mungu fake
 
Basi huyo Mungu atakiwa weak. Mungu gani anayeshindwa na viumbe wake eti kisa wamejiungamanisha na miungu na mambo ya giza ambayo kayaumba yeye.
Huyo atakuwa Mungu fake
Hapa Kuna logic! Huwa najiuliza hivi kweli Mungu anashindwa?
 
Mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…