Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku


Duh
 
Neno litatimia, Mpango atakuwa rais.
 
But Leo le mutuz na Ikulu mawasiliano wame post picha za Leo Rais Akiwa na waziri mkuu vikao Kwa msajili...
Una doubt hizo picha??
Mimi sijaziona na wala sijali, I don't even listen to the speeches tangu Magufuli.

Ila for the sake of Tanzanians, she better show up.

Experience waliyoipata ya Rais kupotea, halafu kuambiwa kwamba anachapa kazi, halafu kujua kumbe alikuwa anajifia zake ni mbaya sana.

Si unajua tena Waswahili wanasema aliyeumwa na nyoka akiona unyasi anasituka?
 

Imekuwa a tramautic experience..
Hadi nikahisi labda hizo picha sio za Leo...but page ya Ikulu imesema Leo alikuwa mkutanoni na msajili wa mashirika
 
Ni kweli mkuu ata kipindi kile ilipoanza minong'ono wakawa wanarusha picha na video za jiwe hawaminiki Hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…